Watumishi UVCCM miezi 3 hakuna mishahara

Watumishi UVCCM miezi 3 hakuna mishahara

Nani kakuambia utoe siri za ndani? wewe lazima unatumiwa! Unatakiwa usubiri vikao.
Asubiri vikao. Wakati njaa.inambamizaaa?
hyo ndo ajira yake anapopata riziki.
sisi wengine wanatuambia tujiajiri.
Wanasahau kuwaelimisha vijana wao
 
Mara zote matarajio ya mtumishi hasa pale uongozi mpya unapoingia madarakani huwa ni positive. Kipindi cha Benno Malisa tulikuwa tunapata mishahara kwa wakati. Sadifa alikuwa anachelewa 10-15 days then tunapata mishahara. Sasa Kheri tokea aingie madarakani ni zaidi ya miezi 9 sasa, hali yetu inakuwa mbaya as days goes on. Ninapoandika uzi huu ni zaidi ya miezi mitatu sasa hatujalipwa. Sasa sijui anategemea tutaishi vipi wakati yeye anazunguka nchi nzima kufanya ziara ambazo hata impact zake hatuzioni.

Dr. Bashiru tafadhali tusaidie katika hili. tuna familia, watoto, ndugu na majamaa wanaotutegemea. Na wengine tunasomesha watoto. Tunaomba utusaidie katibu Mkuu. hali ya maisha ni ngumu sana, tunaomba utuokoe
Mkuu kazi za Chama ni za kujitolea zaidi kuliko kuifanya kama ajira ya kudumu. Inabidi utafute njia nyingine ya kupata kipato halali. Mzee Mangula ni mkulima. Vinginevyo utakuwa mamluki sasa hivi. Walioanzisha hivi vyama sidhani walikuwa wanalipwa, hata hivi leo sidhani wanalipwa stahiki. Jitolee kusaidia chama chako ambacho pamoja na ruzuku bado kinahitaji mchango wako wa hali na mali.
 
Mara zote matarajio ya mtumishi hasa pale uongozi mpya unapoingia madarakani huwa ni positive. Kipindi cha Benno Malisa tulikuwa tunapata mishahara kwa wakati. Sadifa alikuwa anachelewa 10-15 days then tunapata mishahara. Sasa Kheri tokea aingie madarakani ni zaidi ya miezi 9 sasa, hali yetu inakuwa mbaya as days goes on. Ninapoandika uzi huu ni zaidi ya miezi mitatu sasa hatujalipwa. Sasa sijui anategemea tutaishi vipi wakati yeye anazunguka nchi nzima kufanya ziara ambazo hata impact zake hatuzioni.

Dr. Bashiru tafadhali tusaidie katika hili. tuna familia, watoto, ndugu na majamaa wanaotutegemea. Na wengine tunasomesha watoto. Tunaomba utusaidie katibu Mkuu. hali ya maisha ni ngumu sana, tunaomba utuokoe
vijana mnafamilia mmezitoa wapi- acheni hizo
 
Hawa hata wasipolipwa mwaka mzima saw tu kwani wanafanya kazi gani zaidi ya kurudisha maendeleo ya nchi nyuma?
 
Mara zote matarajio ya mtumishi hasa pale uongozi mpya unapoingia madarakani huwa ni positive. Kipindi cha Benno Malisa tulikuwa tunapata mishahara kwa wakati. Sadifa alikuwa anachelewa 10-15 days then tunapata mishahara. Sasa Kheri tokea aingie madarakani ni zaidi ya miezi 9 sasa, hali yetu inakuwa mbaya as days goes on. Ninapoandika uzi huu ni zaidi ya miezi mitatu sasa hatujalipwa. Sasa sijui anategemea tutaishi vipi wakati yeye anazunguka nchi nzima kufanya ziara ambazo hata impact zake hatuzioni.

Dr. Bashiru tafadhali tusaidie katika hili. tuna familia, watoto, ndugu na majamaa wanaotutegemea. Na wengine tunasomesha watoto. Tunaomba utusaidie katibu Mkuu. hali ya maisha ni ngumu sana, tunaomba utuokoe

Kwani ulivokuwa unaimba "...acha waisome namba" ulikua unamuimbia nani??

Acha kulia lia hapa
 
Back
Top Bottom