Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,327
- 52,051
Watafute thamani ya x
Mungu fundi mpka akili ziwakae sawa hao vilaza,naskia wamejaa vumbi mpka kwenye mizuti yao kwa alosto ya miezi 3Mara zote matarajio ya mtumishi hasa pale uongozi mpya unapoingia madarakani huwa ni positive. Kipindi cha Benno Malisa tulikuwa tunapata mishahara kwa wakati. Sadifa alikuwa anachelewa 10-15 days then tunapata mishahara. Sasa Kheri tokea aingie madarakani ni zaidi ya miezi 9 sasa, hali yetu inakuwa mbaya as days goes on. Ninapoandika uzi huu ni zaidi ya miezi mitatu sasa hatujalipwa. Sasa sijui anategemea tutaishi vipi wakati yeye anazunguka nchi nzima kufanya ziara ambazo hata impact zake hatuzioni.
Dr. Bashiru tafadhali tusaidie katika hili. tuna familia, watoto, ndugu na majamaa wanaotutegemea. Na wengine tunasomesha watoto. Tunaomba utusaidie katibu Mkuu. hali ya maisha ni ngumu sana, tunaomba utuokoe
Hatunywi sumu hatujinyongi*2Mara zote matarajio ya mtumishi hasa pale uongozi mpya unapoingia madarakani huwa ni positive. Kipindi cha Benno Malisa tulikuwa tunapata mishahara kwa wakati. Sadifa alikuwa anachelewa 10-15 days then tunapata mishahara. Sasa Kheri tokea aingie madarakani ni zaidi ya miezi 9 sasa, hali yetu inakuwa mbaya as days goes on. Ninapoandika uzi huu ni zaidi ya miezi mitatu sasa hatujalipwa. Sasa sijui anategemea tutaishi vipi wakati yeye anazunguka nchi nzima kufanya ziara ambazo hata impact zake hatuzioni.
Dr. Bashiru tafadhali tusaidie katika hili. tuna familia, watoto, ndugu na majamaa wanaotutegemea. Na wengine tunasomesha watoto. Tunaomba utusaidie katibu Mkuu. hali ya maisha ni ngumu sana, tunaomba utuokoe
Bila shaka hii ni formula ya kupaisha ndege ya bombardier ya ********watumie njia hii kuzisoma
For example, starting with f0(n) = n + 1:
- f1(n) = f0n(n) = n + n = 2n
- f2(n) = f1n(n) = 2nn > (2 ↑) n for n ≥ 2 (using Knuth up-arrow notation)
- f3(n) = f2n(n) > (2 ↑)n n ≥ 2 ↑2 n for n ≥ 2.
- fk+1(n) > 2 ↑k n for n ≥ 2, k < ω.
- fω(n) = fn(n) > 2 ↑n – 1 n > 2 ↑n − 2 (n + 3) − 3 = A(n, n) for n ≥ 2, where A is the Ackermann function (of which fω is a unary version).
- fω+1(64) > fω64(6) > Graham's number (= g64in the sequence defined by g0 = 4, gk+1 = 3 ↑gk 3).
- This follows by noting fω(n) > 2 ↑n – 1 n> 3 ↑n – 2 3 + 2, and hence fω(gk + 2) > gk+1 + 2.
- fω(n) > 2 ↑n – 1 n = (2 → n → n-1) = (2 → n → n-1 → 1) (using Conway chained arrow notation)
- fω+1(n) = fωn(n) > (2 → n → n-1 → 2) (because if gk(n) = X → n → k then X → n → k+1 = gkn(1))
- fω+k(n) > (2 → n → n-1 → k+1) > (n → n → k)
- fω2(n) = fω+n(n) > (n → n → n) = (n → n → n→ 1)
- fω2+k(n) > (n → n → n → k)
- fω3(n) > (n → n → n → n)
- fωk(n) > (n → n → ... → n → n) (Chain of k+1 n's)
- fω2(n) = fωn(n) > (n → n → ... → n → n) (Chain of n+1 n's)
yuko wap lizaboni...bundle ni shidahahaha pale ccm wanapo ona umuhimu wa JF ktk kupitishia vilio vyao
ndio maana akina
pohamba
stroke
imhotep
na wengine kama hao wanaonekana kwa machale kumbe bando tatizo
Pmbvf&#*#**¥ zenu mkome, enzi za JK hamkuwa mnalalamika sababu Wafanyabiashara wakubwa ndo mliwafanya kuwa "Makamanda" wenu wa Wilaya/Mikoa...sasa Jiwe hela zote hadi za chama kapeleka kwao kujenga Uwanja wa NdegeMara zote matarajio ya mtumishi hasa pale uongozi mpya unapoingia madarakani huwa ni positive. Kipindi cha Benno Malisa tulikuwa tunapata mishahara kwa wakati. Sadifa alikuwa anachelewa 10-15 days then tunapata mishahara. Sasa Kheri tokea aingie madarakani ni zaidi ya miezi 9 sasa, hali yetu inakuwa mbaya as days goes on. Ninapoandika uzi huu ni zaidi ya miezi mitatu sasa hatujalipwa. Sasa sijui anategemea tutaishi vipi wakati yeye anazunguka nchi nzima kufanya ziara ambazo hata impact zake hatuzioni.
Dr. Bashiru tafadhali tusaidie katika hili. tuna familia, watoto, ndugu na majamaa wanaotutegemea. Na wengine tunasomesha watoto. Tunaomba utusaidie katibu Mkuu. hali ya maisha ni ngumu sana, tunaomba utuokoe
Mara zote matarajio ya mtumishi hasa pale uongozi mpya unapoingia madarakani huwa ni positive. Kipindi cha Benno Malisa tulikuwa tunapata mishahara kwa wakati. Sadifa alikuwa anachelewa 10-15 days then tunapata mishahara. Sasa Kheri tokea aingie madarakani ni zaidi ya miezi 9 sasa, hali yetu inakuwa mbaya as days goes on. Ninapoandika uzi huu ni zaidi ya miezi mitatu sasa hatujalipwa. Sasa sijui anategemea tutaishi vipi wakati yeye anazunguka nchi nzima kufanya ziara ambazo hata impact zake hatuzioni.
Dr. Bashiru tafadhali tusaidie katika hili. tuna familia, watoto, ndugu na majamaa wanaotutegemea. Na wengine tunasomesha watoto. Tunaomba utusaidie katibu Mkuu. hali ya maisha ni ngumu sana, tunaomba utuokoe
Tena njaa yanyewe ipande kichwani ndiyo utajutaWeweee! njaa haina baunza
Mbaya zaidi ID zenyewe ni za ofisi muda wowote zinabadilishwa password unapokonywa na tablet anapewa kibarua mpya.Hiv kwan mnafanyakazi gani? zaidi ya majungu na kusoma magazeti na kuingia social media basi, ukiwaambia kila anayekuja ofisin arodheshe kazi aliyofanya kwa kutwa hakuna kitu, sasa mshahara wa nni ? Hongera sana Mh. RAIS fanyeni kazi sio kuishi kijanja kijanja.Mtu akipost thread 1 tayar anataka malipo.
Ila bawacha kwenu mambo yanasoma?Bavicha toka january Mambo hayasomi
Hapana haitoshi. Wafanye maamuzi kama yale ya Polisi wa Jana.Kunywa Maji mwanangu....