Watumishi mjiandae kisaikolojia

Watumishi mjiandae kisaikolojia

C tu kwa watumishi, hili nadhani kila m1 wetu lina mhusu,
Ahsante kwa kutukumbusha mtoa mada.
 
Wewe mtumishi,ni mda wa kuchukua tahadhari mapema
1.Hakikisha unaweka akiba ya chakula cha kukutosha kadri utakavyoweza,jitahidi angalau chakula cha miezi mitatu kisikauke ndani
2 Funga japo kuk4 u 5,pamoja na bustani ndogo za mboga
Ni hayo tu kwa leo 23/11/2018,msije mkasema sikuwaambia.
Tayari
 
Nasikia mnampango kutukata mishahara yetu kukamilisha ujenz wa SGR to mwanza!
Pruuuuuuhp maisha ya wafanyakazi yatakua ki2ko pension wakatwe hadi mishahala serikali itasababisha wafanyakazi waanzekuongea pekeao barabarani
 
Pruuuuuuhp maisha ya wafanyakazi yatakua ki2ko pension wakatwe hadi mishahala serikali itasababisha wafanyakazi waanzekuongea pekeao barabarani
wameshaanza kuongea peke yao mabarabarani
 
Back
Top Bottom