EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,477
- 15,347
Utafiti uliofanywa unaonyesha kuwa watumiaji wa Internet Explorer wana IQ ndogo. Utafuti umekuta kwamba wanaotumia Chrome, Firefox na Safari wana IQ ya kati na wale wanaotumia Camino and Opera wana IQ ya juu sana. Kampuni iliyofanya huo utafiti inaitwa AptiQuant na wametishiwa kuchukuliwa hatua za kisheria na wapenzi wa Internet Explorer. Habari kamili: BBC News - Internet Explorer users have lower IQ says study
Wewe unatumia browser ipi? Mie Chrome.
Wewe unatumia browser ipi? Mie Chrome.