Watu wenye iPhone wanafaidi sana

Watu wenye iPhone wanafaidi sana

Baada ya kujichanga kwa muda fulani nikajizolea iPhone 13 Pro Max pale Mlimani city sikutaka zile Kushoto nyingi Mara iphone za Mwenge fake Mara Kariakoo ukinunua ushapigwa tayari

BAADA YA KUJUA SASA

Hakuna iPhone fake labda zile zenye android ni copy kweli kweli ila mpaka upigwe duuuh wewe Hujui simu kwa kweli


RAHA ZILIZOPO IPHONE

Nimegundua IOS ina sifa nyingi zaidi ya android

Mpaka sasa Ukiwa na iphone unaweza kupromote reels kwenye instagram Wakati hicho kitu android hakipo

Kwenye ufasta hapa iOS Kaua sana ni kuteleza tu kwa chochote utakachofanya iwe online au offline

Picha kali sana hapa mpaka Huyo google pixel akasome anasifiwa tu hana Hizo sifa (japo katika android ni simu kali sana Ila muonekano nao imenyimwaaa kuitoa Zaidi ya million mbili KISA CAMERA TU DUUUH)





Vingine tuongezee
Hakuna Mrusi wala Mchina hapo. Endelea kufurahia iOS.
 
Katika mazingira ya kutatanisha
Kweli uchawi upo😂
Sema ilikuwa noma sana

Na pia akiba ni muhimu
Rich friends ni wa muhimu sana
🤣🤣
Maana kuna nyakati hata bebiyo anakupaki
 
Back
Top Bottom