The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,071
Nyie wahaya sijui mna matatizo gani....:eyebrows::lol:Kulikua hamna haja ya kuhusisha kabila na hii ishu.
Alafu kama jamaa humjui umejuaje kwambani mhaya?
Neway pole.
Nyie wahaya sijui mna matatizo gani....:eyebrows::lol:Kulikua hamna haja ya kuhusisha kabila na hii ishu.
Alafu kama jamaa humjui umejuaje kwambani mhaya?
Neway pole.
Nadhani jamaa alikudharau akajua huwezi kumfanya kitu, kwanza hakuomba samahani na pili akarudi kukaa meza hiyo hiyo uliyopo kwa jinsi asivyokuogopa!
Pole sana driller, nadhani utakuwa unachimba RC wewe sidhani kama diamond drilling unaiweza!
karibu tupoooh..!
Kwenye ile nyumba yako ndogo??
now i get the feelings kua kweli jamaa alinidharau..! daaah..! ila kutupa mkono ingekua ni sltn pale kweli..!?
Undeedit post yako mkuu ukaondoa hiyo ya kuwasema wahaya
maana kutaja kabila inaondoa ile ladha ya watu kuchangia maana sio wahaya wote wana the same character wako ambao ni wastaraabu ambao wako tayari kusema samahani
So generalization uliyotumia sio nzuri sana
Samahani kwa kusema haya
are u a driler for real?
Meeen, driller wa ukweli wala asingefikiria mara mbili kurusha ngumi whether ni solution ama vip
unanipandisha mzuka, natamani ninunua hiyo kesi
I love drillers language, its man to man no woman to woman.
:lol::lol::lol:Afu we jamaa ni kimeo wewe
Ungekuwa karibu hapa ningerusha ngumi
Au na wewe ni kama Driller
kongosho maeneo ya musoma nini hayo..!
Mwanzo wa maelezo yaku umetualert kwamba jamaa ni 'mhaya', lakini mpaka unamaliza maelezo yako haujaweka mahusiano ya hicho kitendo alicokufanyia na uhaya wake.
1.Je, una tatizo na wahaya?
2.Je, wahaya wana tabia ya kumwagia mwagia watu maharage na kuwajibu mbofu mbofu?
Kwa kifupi Sijakusoma.
rocky usinichkulie poa..! mimi nina drill hata rocks remember..!
Tarime mpakani na Kenya.
utaskia tu, nkugecha, unashangaa kiwiliwili kiko pembeni
Nyie wahaya sijui mna matatizo gani....:eyebrows::lol:
Wewe!! Hunifahamu, sikufahamu achana na mimi.Wewe!!Hunijui, sikujui achana na mimi.