Watu wengi wa Kanda ya Ziwa sio wastaarabu wakati wa kula, wanatia kinyaa!

Mimi walinishangaza kitu kimoja tu.

Baada ya JPM kuwa Rais basi woote kama walivyo walihamia ccm hadi Katibu Mkuu w Chadema na akina Katambi woote.

Baadae wakaanza kumchukia mtu yeyeto anayemkosoa Rais wao.

Yaani ilikuwa kama wamelogwa vile. Kanda ya ziwa wana mambo ya ajabu sana
Ukabila in chief
 
Ukisema tena ulete ustaarabu wa kila mtu na sahani yake wanadai hawashibi na wanaona aibu kuongeza ila pia usishangae amemaliza kula anarudisha sahani tissue haipo ukimuuliza lile kama karatasi lililokuwa kwenye sahani liko wapi anakwambia aliliangalia hakulielewa akajua ni aina ya msosi akaliwekea mchuzi wa nyama akalila nalo. Hatari sana hawa watu
Hahahaha
 
Unaona kuishi marekani ni ujanja au ni achievement ushamba na ulimbukeni unakusumbua sana
Mkuu,

Kabla sijazaliwa nilikuwa natamalaki kutembea kwenye corridors za Ikulu nikiwa tumboni mwa mama yangu.

Sehemu nzuri nzuri nimeanza kuzitembelea kabla sijazaliwa. Sio leo habari za Marekani tu.
 
Nje ya mafundisho ya Kiislam huwezi kujuwa maadili ya kula na hata ya usafi.

Wengi wanakwenda chooni wanatoka hawajanawa, si mavi si mikojo.

Uchafu mtupu.
 
Huwa napata tabu ukiwa na rafiki wa kutoka kanda hiyo(wasukuma )alafu mkapanda daladala ,hana siri Yani yote anaongea alafu kwa sauti kubwa na hajali wala hashtuki🤣 unaweza mkataa kubwa humjui ujue


Usiombe apigiwe simu mpo kwa gari halafu simu iwe na shida kidogo ya mic 🎤 utaipenda
 
Picha linaanza, nimeenda ukweni kanda ya ziwa kulipa mahari. Siku hiyo walichinja Ng'ombe na msosi ulikuwa wa kutosha. Muda wa kula nakumbuka sisi tuliwekwa sehemu moja na wenyeji wetu wawili ili tusiwe wapweke, daah walivyokuwa wanalamba vidole wale mabwana hadi nikaghairi kula. Wenyewe wanasema kuwa haitakiwi mkono ubaki na mabaki ya chakula, kwahiyo wanalamba mikono haswa ili kuisafisha huku wanaendelea kula, pia hawajui kula sehemu moja. Muda huu atamega tonge upande huu, ila tonge la pili litamegwa upande ule na tonge la tatu litamegwa katikati. Nikamtumia meseji waif afanye mchakato aniletee chakula cha peke yangu, kweli kikaletwa nikala. Japo maneno ya chinichini yaliongeleka kuwa sipendi kula sahani moja na wenyeji.

Baada ya kuwa mwenyeji hii kanda kwa takribani miaka minne ndio nimegundua kuwa ile siku ya mahari haikuwa bahati mbaya, watu wengi huku kuanzia Simiyu, Shinyanga, Mwanza hadi mara wapo hivyo. Kukuta mtu anakula huku anajichokonoa meno kwa vidole mbele za watu ni kawaida, kula na kukibehulia chakula ni kawaida, kula huku analamba vidole vyote vitano ni kawaida sana, Kula chakula bila kuchagua upande ndio kabisa hawa jamaa ni mafundi, wanadonoa chakula kama kuku. Inatia hasira sana na inakera kushuhudia watu wa namna hii.

Angalau kidogo kwa waliosoma soma na wale wenye exposure ya kusafiri sehemu mbalimbali ndio wanaunafuu.

USHAURI: Wazazi wa kanda ya ziwa wafundisheni vijana wenu ustaarabu wakati wa kula.

Kuna mashemeji zangu walikuja kunitembelea ila nikawaambia waziwazi kuwa sipendi kumuona mtu anakula hovyo kama mbwa hapa nyumbani kwangu. Walienda kusimulia huko walipotoka kuwa nina roho mbaya ila mimi sijali.
Acha ujinga,usichafue makabila ya watu wewe,weka jina lako halisi tujue kabila lako
 
yaani huyu jamaa exposure yake haijamsaidia hata kidogo anapaona marekani kama mbinguni kwa baba ana ushamba mwingi sana
Ni mshamba kupita maelezo
Hapa dunian sisi wote ni wapitaji hatakama unamaishi mazuri sana usijione kama ndo umefika sisi ni wapitaji ndani ya dakika mbili you're dead man unazikwa alafu watu wanasahau wanaendelea na maisha yao

Watu wanamsifia sana ila mimi namuonaga tu mshamba hasa nikisoma comment zake anaonaga yeye kuishi marekani ndo akili anashangazaga sana
 
Japokuwa huja taja kabila ila moja kwa moja hao ni wasukuma hata mkienda sehem ya kuangalia mpira mkagiza kinywaji badala anywe kistarabu huku tukicheki gemu yeye ana piga tarumbeta hata dakika haziishi ....dah...
Duh mnawajua tabia zao kumbe
 
Ni mshamba kupita maelezo
Hapa dunian sisi wote ni wapitaji hatakama unamaishi mazuri sana usijione kama ndo umefika sisi ni wapitaji ndani ya dakika mbili you're dead man unazikwa alafu watu wanasahau wanaendelea na maisha yao

Watu wanamsifia sana ila mimi namuonaga tu mshamba hasa nikisoma comment zake anaonaga yeye kuishi marekani ndo akili anashangazaga sana
na story zake za hakuna Mungu,
ukimsoma kimakini ni brainwashed mmoja ambaye kapotezwa na kakaririshwa asivyovijua, ila kwa kuwa ana mahaba na wazungu basi kaingia kichwakichwa ila huwa hajui kukitetea anachokibishia,
anadhani mambo ya spiritual ni hadithi za alfu lela ulela,
hapa jf wanamsifia washamba wenzake tu mi nshampuuza kitambo
 
Dah ngosha wamejazana kwenye bus la al saedy toka ifakara kwenda dar mwaka 2013 Kuna mmoja nimekaa nae amepanda na karanga anakula zile za kuchemsha nikavunga, gari kufika mang'ula kona kanunua mahindi ya kuchemsha na muwa, akanikaribisha mahindi nikachomoa Kala mahindi mawili kamaliza halafu funga kazi akaanza kula kula muwa ule. Pale ndio tulitibuana yani maganda ya muwa yote yanatoa Yale madude meupe yanaishia mwilini kwangu, ikabidi nimwambie huo sio ustaarabu huoni unanichafua?

Basi ngosha akawa anaumenya muwa ndani ya koti lake alilovaa, akaula hadi akamaliza. Kufika mikumi town pale kanunua chips, mishkaki na soda ya Pepsi! Akazibonyeza nazo zikaisha, kufika maeneo ya Doma kwa mbele alianza kupumua kupitia sikio kubwa, dah nashukuru nilishukia morogoro ila alijamber sana yule mwamba sitamsahau, ila mtu poa sana alikuwa ananikaribisha kila anachonunua.
 
Kuna kula pamoja kwa maana familia inakusanyika mezani kila mtu anakuwa na sahani yake na chakula chake,kula pamoja ambako sikukubali ni ile kutia mikono 10 kwenye kibakuli kimoja kila mtu anapeleka Tonge kinywani mwake kisha mkono unarudi kwenye bakuli una matemate
Wewe unakula mpaka unalamba vidole? Wasukuma tunafundishwa kula kwa mkono tangu tukiwa wadogo? Ukiweka vidole vyote mdomo viboko utavioga na kula utakula huku unalia!
 
Back
Top Bottom