Estone
JF-Expert Member
- Feb 6, 2012
- 604
- 612
Ukabila in chiefMimi walinishangaza kitu kimoja tu.
Baada ya JPM kuwa Rais basi woote kama walivyo walihamia ccm hadi Katibu Mkuu w Chadema na akina Katambi woote.
Baadae wakaanza kumchukia mtu yeyeto anayemkosoa Rais wao.
Yaani ilikuwa kama wamelogwa vile. Kanda ya ziwa wana mambo ya ajabu sana