kwamwitongo
Member
- Mar 23, 2022
- 8
- 19
mmm we ndio pumba kweli.
sijajua elimu yako imekusaidia nini! wewe ukipewa uraisi unaweza uwa watu kwa vitu vya kusadikika visivyo na studies! Ingekua hivo watanzania 70% tungekua tumeumia! Ni msomi usiye elewa mamboNop ,maambukizi ya ukimwi hayategemei Mchubuko kama key factor Shida ni kugusa fluids
Sijawahi kwasababu haupoBila shaka hujawahi kufiwa na ndugu yako Yeyote mwenye ukimwi !!huwezi elewa
Kwa kuanzia tunaomba utuonyeshe picha ya huyo kirusi anayekaa kwenye Ute uteHabari za usiku wanajamii Forums!
Actually Mimi ni mwanafunzi kwenye Field hizi za science kuna kitu Kinaniumiza Moyo Kuwa watu wengi Hawajui kuhusu Ukimwi.
Wengi wanazani Mtu Anapata ukimwi Pale ambapo Akimchubua Muathirika Wakati Anafanya naye Mapenzi, kihivi wengi wanaamini mtu akifanya mapenzi na Muathirika wa ukimwi Taratibu Bila Kuingiza kwa nguvu (bila msuguano mkali)Basi hawez kupata ukimwi .SIO UKWELI
Jamani Virusi vya ukimwi vinakaa kwenye ute ute wa mwanamke(Vaginal fluids) kwa maana hyo Mwanaume akifanya mapenzi na mwanamke ambaye Ameathirika huo ute ute unapita Kwnye Mfereji wa mwanaume (male urethra) unaingia Then itapelekea na yeye kupata Ukimwi hata kama hakuna mchubuko Wowote.Hii kitu Watu wanachukulia poa sana.
Sio kwamba hukifanya polepole bila kumchubua ndo Hutapata ukimwi ni kwamba uliefanya naye hakuwa na Ukimwi.
Kama anaukimwi na ni ukweli hujapata baada ya kupima its Happens japo mara chache sana vipokezi (receptors )za ukimwi ziitwazo CCR5 zimepata mabadiliko (mutation) hivyo zinashindwa kusababisha ugonjwa ambapo hata ufanye mapenzi Na watu kumi wenye maradhi kwa pamoja Huwezi Kupata ukimwi, na watu ambao mabadiliko hayo uwapata ni asilimia kidogo ya watu kwa dunia nzima.
KUWA MAKINI UKIMWI NI MBAYA !!PITA WODI ZA WAGONJWA WA UKIMWI UTAELEWA. CHEZA SALAMA. USE PROTECTIONS
Maestro de Quimica !!OP
View attachment 2162314
TENA huo mfano wa Kwanza wa pili nina Rafiki yangu Dokta wa wanyama sijui ndo mnaita mifugo anaishi Airport Hapo alipata mrembo kwenye shughuli zake za udaktari siunajua wanawake wanapenda kufugwa vile vijibwa km midoli vile vya urembo wanaitaga mbwa wala uchi.Ndo maana tukasema Kuna case chache mtu anaweza akashindwa kupata Ukimwi kulingana na mabadiliko ya vipokezi Vyake vya ukimwi kubadilika
hahahaha nimependa hiinikamwambia ww ndo ushtakiwe maana ulikuwa unalipwa ujira mara malipo ya huduma ya mbwa na huduma ya mbususu
Kapime mkuu unahofu Yann sasa mkanda wa jeshi ni dalili moja wapo mkuu yakuwa huenda ameungua.Vipi Kuna mahusiano gani Kati ya mkanda wa jeshi na ukimwi?
Mtu aliyeunvus mkanda wa jeshi Kuna possiblity ya kuwa na ukimwi pia?
Kuna binti nilimgonga haikupita wiki akaungua huo mkanda raia wakazusha anao nilitetemeka Kama panya aliyeenda kwenye wavu mdogo hata kupima dijapima mpaka Leo mwaka ushakatika na dalili za kuungua Hilo gonjwa Sina ila sijiamini amini.
Basi tafuta mmoja mpime akikisha ni mzma Uishi Nae ,unaweza sema hvyo Halafu ukaupata ukimwi na Usife Mapema ,then Kuja kutafuta mwanamke kama ni mwanaume ambaye atakubali kuishi na ww na una ukimwi Sahau Au utapata kwa tabu sana
Kufa kupo mzeya sasa uamuzi ni wako ufe huku umekula asali orijino au ufe huku umekula pipi na makaratasiKwaio na sisi wapiga deki tupo kwenye hatari,manake kuna muda tunameza kilakitu yani!
Wapenda kavu kavu kumbe tupo wengi eehMnatuchanganya
Warning...Habari za usiku wanajamii Forums!
Actually Mimi ni mwanafunzi kwenye Field hizi za science kuna kitu Kinaniumiza Moyo Kuwa watu wengi Hawajui kuhusu Ukimwi.
Wengi wanazani Mtu Anapata ukimwi Pale ambapo Akimchubua Muathirika Wakati Anafanya naye Mapenzi, kihivi wengi wanaamini mtu akifanya mapenzi na Muathirika wa ukimwi Taratibu Bila Kuingiza kwa nguvu (bila msuguano mkali)Basi hawez kupata ukimwi .SIO UKWELI
Jamani Virusi vya ukimwi vinakaa kwenye ute ute wa mwanamke(Vaginal fluids) kwa maana hyo Mwanaume akifanya mapenzi na mwanamke ambaye Ameathirika huo ute ute unapita Kwnye Mfereji wa mwanaume (male urethra) unaingia Then itapelekea na yeye kupata Ukimwi hata kama hakuna mchubuko Wowote.Hii kitu Watu wanachukulia poa sana.
Sio kwamba hukifanya polepole bila kumchubua ndo Hutapata ukimwi ni kwamba uliefanya naye hakuwa na Ukimwi.
Kama anaukimwi na ni ukweli hujapata baada ya kupima its Happens japo mara chache sana vipokezi (receptors )za ukimwi ziitwazo CCR5 zimepata mabadiliko (mutation) hivyo zinashindwa kusababisha ugonjwa ambapo hata ufanye mapenzi Na watu kumi wenye maradhi kwa pamoja Huwezi Kupata ukimwi, na watu ambao mabadiliko hayo uwapata ni asilimia kidogo ya watu kwa dunia nzima.
KUWA MAKINI UKIMWI NI MBAYA !!PITA WODI ZA WAGONJWA WA UKIMWI UTAELEWA. CHEZA SALAMA. USE PROTECTIONS
Maestro de Quimica !!OP
View attachment 2162314
Msuguano wa nyama kwa nyama una Raha yake Jamani😋Wapenda kavu kavu kumbe tupo wengi eeh
Kweli kabisa hizi story za condom ujinga tuu....sii bora upige nyeto tuu yaisheMsuguano wa nyama kwa nyama una Raha yake Jamani😋
Sii tamaa zao wenyeweHahaha nimeipenda ya yeye ndio ashtakiwe kwa kuchukua mishahara 2. Lkn inauma sana watu kutokujali kuwaaambukiza wengine.
Victims wa HIV wapo hadi ulaya ndugu soma statistics za CDC na WHOKama ukimwi ungekuwa unaambukizwa kwa kujamiiana nadhani Leo kusingekuwa na binadamu juu ya aridhi.
Fikiria je umewahi kusikia habari za ukimwi Uingereza,Marekani,ujerumani nk nk.
Hii ni biashara ya wazungu na walichagua kusini mwa jangwa la sahara.(Afrika).
Hivi kumbe huwa zipo wodi za wagonjwa wa ukimwi?Habari za usiku wanajamii Forums!
Actually Mimi ni mwanafunzi kwenye Field hizi za science kuna kitu Kinaniumiza Moyo Kuwa watu wengi Hawajui kuhusu Ukimwi.
Wengi wanazani Mtu Anapata ukimwi Pale ambapo Akimchubua Muathirika Wakati Anafanya naye Mapenzi, kihivi wengi wanaamini mtu akifanya mapenzi na Muathirika wa ukimwi Taratibu Bila Kuingiza kwa nguvu (bila msuguano mkali)Basi hawez kupata ukimwi .SIO UKWELI
Jamani Virusi vya ukimwi vinakaa kwenye ute ute wa mwanamke(Vaginal fluids) kwa maana hyo Mwanaume akifanya mapenzi na mwanamke ambaye Ameathirika huo ute ute unapita Kwnye Mfereji wa mwanaume (male urethra) unaingia Then itapelekea na yeye kupata Ukimwi hata kama hakuna mchubuko Wowote.Hii kitu Watu wanachukulia poa sana.
Sio kwamba hukifanya polepole bila kumchubua ndo Hutapata ukimwi ni kwamba uliefanya naye hakuwa na Ukimwi.
Kama anaukimwi na ni ukweli hujapata baada ya kupima its Happens japo mara chache sana vipokezi (receptors )za ukimwi ziitwazo CCR5 zimepata mabadiliko (mutation) hivyo zinashindwa kusababisha ugonjwa ambapo hata ufanye mapenzi Na watu kumi wenye maradhi kwa pamoja Huwezi Kupata ukimwi, na watu ambao mabadiliko hayo uwapata ni asilimia kidogo ya watu kwa dunia nzima.
KUWA MAKINI UKIMWI NI MBAYA !!PITA WODI ZA WAGONJWA WA UKIMWI UTAELEWA. CHEZA SALAMA. USE PROTECTIONS
Maestro de Quimica !!OP
View attachment 2162314