Watu wengi hawana uelewa kuhusu UKIMWI

Kama ukimwi ungekuwa unaambukizwa kwa kujamiiana nadhani Leo kusingekuwa na binadamu juu ya aridhi.

Fikiria je umewahi kusikia habari za ukimwi Uingereza,Marekani,ujerumani nk nk.

Hii ni biashara ya wazungu na walichagua kusini mwa jangwa la sahara.(Afrika).
hakuna wodi ya VVU ulaya
 
Msisitizo na hamasa ya Elimu kuhusu huu ugonjwa wa UKIMWI kwa kweli umeshuka mno..ni kama haipo kabisa.Nikikumbuka miaka ya mwanzoni mwa 2000 kampeni zilikuwa kila sehemu (ishi,Jilinde n.k,Taasisi za Angaza,Semina mbalimbali hata na nyimbo (Starehe - Ferouz,Usione soo n.k)
Tatizo wahamasishaji na wenyewe wameshaathirika so wanaona bora kila mtu aupate

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Wao wenyewe wanachanganywa huko vyuoni wanaposoma, kiasi kwamba wanakuja kutuelezea au kutufafanulia jambo ambalo hata kwao halipo clear.

Binafsi nitaendelea kumuamini Deception maana madokta wote walipoteana, na hakuna aliyeweza kutoa hoja za kueleweka mbele yake.
sijui yuko wapi mwamba deception.
 
Habari za usiku wanajamii Forums!

Actually Mimi ni mwanafunzi kwenye Field hizi za science kuna kitu Kinaniumiza Moyo Kuwa watu wengi Hawajui kuhusu Ukimwi.

Wengi wanazani Mtu Anapata ukimwi Pale ambapo Akimchubua Muathirika Wakati Anafanya naye Mapenzi, kihivi wengi wanaamini mtu akifanya mapenzi na Muathirika wa ukimwi Taratibu Bila Kuingiza kwa nguvu (bila msuguano mkali)Basi hawez kupata ukimwi .SIO UKWELI

Jamani Virusi vya ukimwi vinakaa kwenye ute ute wa mwanamke(Vaginal fluids) kwa maana hyo Mwanaume akifanya mapenzi na mwanamke ambaye Ameathirika huo ute ute unapita Kwnye Mfereji wa mwanaume (male urethra) unaingia Then itapelekea na yeye kupata Ukimwi hata kama hakuna mchubuko Wowote.Hii kitu Watu wanachukulia poa sana.

Sio kwamba hukifanya polepole bila kumchubua ndo Hutapata ukimwi ni kwamba uliefanya naye hakuwa na Ukimwi.

Kama anaukimwi na ni ukweli hujapata baada ya kupima its Happens japo mara chache sana vipokezi (receptors )za ukimwi ziitwazo CCR5 zimepata mabadiliko (mutation) hivyo zinashindwa kusababisha ugonjwa ambapo hata ufanye mapenzi Na watu kumi wenye maradhi kwa pamoja Huwezi Kupata ukimwi, na watu ambao mabadiliko hayo uwapata ni asilimia kidogo ya watu kwa dunia nzima.

KUWA MAKINI UKIMWI NI MBAYA !!PITA WODI ZA WAGONJWA WA UKIMWI UTAELEWA. CHEZA SALAMA. USE PROTECTIONS

Maestro de Quimica !!OP
View attachment 2162314
Unatutisha sasa mkuu.
 
Hayo ni maneno mkuu Japo Mkanda wa jeshi -Shingles ambapo inatokana na Reactivation(kurudi mara ya pili) kwa Chickenpox sasa Tiba yake ni Antiviral drugs Kama Acyclovir ,sasa dawa hizohzo Zinatumika na wagonjwa wa ukimwi kwenye some cases ,hila haimaanishi Ukiwa na Shingles Ni lazima unaukimwi
Kumbe sawa ngoja nikaendelee kumbanjua maana binti wa watu ananielewa kinyama
 
Ukimwi ni Scam.

Kila siku ni africa tu ndio tunateseka na huo ukimwi,, huwezi sikia Russia analalamika eti maambukizi ya ukimwi, ni Africa tu
 
Sema ni asilimia ngapi probability ya Vaginal fouids ad semen inayoweza kubeba virus

Yaani katika watu 10, ni wangapi wanaweza kuambukizwa kupitia only fluids i.e SEMEN and VAGINAL FLUID

sio unaleta maelezo tu
Mkuu Basi Nimekuja kuona wengi hawaelewi Kuhusu Matumizi Ya condoms Pia ,jaman Condoms Zinaprevent Vaginal Fluids Kutokuingia kwa mwanaume sababu Zinabeba ukimwi
Soma hapa

No, it's not true. HIV is a virus that is carried in blood, semen, and vaginal fluids. None of these substances can pass through an intact latex condom, a polyurethane male condom.

Ndo Maana watu wanatumia condom .
 
Sema ni asilimia ngapi probability ya Vaginal fouids ad semen inayoweza kubeba virus

Yaani katika watu 10, ni wangapi wanaweza kuambukizwa kupitia only fluids i.e SEMEN and VAGINAL FLUID

sio unaleta maelezo tu
Sio Percent Ngap ,ukishakuwa na ukimwi Lazima Zinakaaa huko No objection
 
Mtoa mada kama ulivyokiri kuwa bado ni mwanafunzi na kweli hujajua hasa ukimwi ni nini, UKIMWI ni Upungufu wa Kinga Mwilini sasa mtu anawezaje kumuambukiza mwenzie huo upungufu?

Pia kuhusu michubuko haupo sahihi, mimi natomba bila kukamia mechi mwaka wa 30 huu bila condom wala nini na sipati huo ugonjwa.
Kwa hyo Unataka kumaanisha mtu akiwa na ukimwi hawez kumuambukiza mwenzake?
 
Mtoa mada kama ulivyokiri kuwa bado ni mwanafunzi na kweli hujajua hasa ukimwi ni nini, UKIMWI ni Upungufu wa Kinga Mwilini sasa mtu anawezaje kumuambukiza mwenzie huo upungufu?

Pia kuhusu michubuko haupo sahihi, mimi natomba bila kukamia mechi mwaka wa 30 huu bila condom wala nini na sipati huo ugonjwa.
MichuBuko hatujakataa ,hila Ukifanya mapenz na mtu hatakama hujamchubua As long Anaukimwi Unapata Mkuu
 
Mi navyojua virusi vya ukimwi vinakaa kwenye majimaji ya ukeni ikiwa huyo mwanamke atachubuka sehemu za Siri akiwa anafanya mapenzi na mwanaume kupelekea na huyo mwanaume kupata hivyo virusi ikiwa na yeye atapata michubuko sehemu zake za Siri over ila kwenye mrija wa mkojo mfano vikipita Sasa vinaenda wapi kwenye kibofu au .????

Kama ni kwenye majimaji ya ukeni kwann Sasa huwa wanapima damu na sio hayo majimaji ya ukeni.....????
Hapana ,sio Kwamba vinaenda Ukeni Baada ya Mtu kuchubuka No,Ukishakuwa nao Virusi Vinasambaaa mwilini Mpaka Kwenye Hui ute ute ,ukitaka kusuppot Point Yako Maana yake Unataka kusema Hata kwa mwanaume Anachubuka then ndo zinaenda kwenye Shahawa(sperm)?
 
Unaelewa nini kuhusu immunity na bllod group?

Muulize lecture wako au Profesa wako Delta 24 ni nini? Akishakwambia maana yake rudi hapa.

Ila kama wewe ni daktari mtalajiwa basi umuhimu wa kuwa na pesa za kutibiwa India au ulaya bado uko palepale, mnakata watu miguu hovyo kwa kesi za kumponyesha mtu kwa vidonge tu.
Mimi sio Daktari Mtarajiwa ,mfamasia .
 
Unaelewa nini kuhusu immunity na bllod group?

Muulize lecture wako au Profesa wako Delta 24 ni nini? Akishakwambia maana yake rudi hapa.

Ila kama wewe ni daktari mtalajiwa basi umuhimu wa kuwa na pesa za kutibiwa India au ulaya bado uko palepale, mnakata watu miguu hovyo kwa kesi za kumponyesha mtu kwa vidonge tu.
Gliomas?
 
Nauliza wakuu ? Hivi ni kweli kuna dawa ya ukimwi ambayo ina 99.9% ya uponyaji/ kumpa mgonjwa nafuu huko... nchi za mbele, nchi za ulaya..
Mpaka sasa Hapana ,kampuni ya moderna Ipo Inafanya majaribio ya chanjo Ya ukimwi na inasemekana bado Step Chache Tu Ipitishwe
 
Sio Percent Ngap ,ukishakuwa na ukimwi Lazima Zinakaaa huko No objection
Usikaze kichwa, kubali critics, nenda ukachimbe upya

By the way kama hujui, njia pekee ya kuambukizwa UKIMWI ni kupitia damu, tena either ile michubuko mikubwa wakati wa sex ama kupitia BT pekee, mengine yote sijui Saloon, kuji prick, sijui contact ya body fluids na ujinga mwingine ni ngumu sana kuambukizwa HIV

So hicho unachokisomea haujakijua vizuri bado, KASOME ZAIDI
 
21 Reactions
Reply
Back
Top Bottom