Watu wengi au watu bora

Watu wengi au watu bora

Furaha yako ni kukera wengine then unaita challenge?
Hapana huwa unanichkulia tofauti sana. I'm not that kinda person... Behind maneno yangu huwa kuna honesty ya hali ya juu. I want the best in people
 
Kila mtu na mapenzi yake. Kwangu ni quality over quantity
 
Niliposikia rimoti ipo msoga sikuona shida sana kwa sababu wakati wake
.
1)alikuwa na siasa safi alikuwa na demokrasia hakukuwa na utekaji wala mauaji hakukuwa na maujinga kabisa

2)wapinzani walipokosoa JK aliwambia wajibu kwa hoja,kama upinzani wakisema akawaambia mboga mboga watoke wajibu hoja waonyeshe ccm vitu walivyovifanya wajibu hoja kwa hoja....hakukuwa na uchawa..

3)Diplomasia na nji jirani na jumuiya za kimatifa ilikuwa poa

Kwa yanayoendelea naamini kama mwwnyewe msoga ndio angekuwa ndiye yeye mwwnyewe yupo kewnye usikani asingeyafanya haya yaliyofanyika au yanayofanyika sasa hivi..asingefanya kwa sababu
ANA AKILI TIMAMU

nanukuu msemo wa JK ,akili ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZA KWAKO(kama unazo)

nanukuu JPM alishasema alikataa kusaini mkataba wa bandari kwa sababu masharti yake aliyaona hayafai kwa akili zake alipochanganga na za kwake akaona za kuambiwa zina mapungufu.(kama JPM asingekuwa na akili angeshikwa masikio sana)

View: https://youtu.be/5HiTEZ2P-kQ?si=rZC-Rix_cmdT2Ngk
 
Bora kuwa na watu wachache wenye faida kwa mustakabali wako kuliko kuwa na kundi kubwa linalokusifu kwasababu ya either cheo chako au utajiri wako, kwa kuwa moja kati ya hicho kitakapokuwa hakipo muda ukifika watakugeuka na kuanza kuonyesha rangi zao za asili , ni bora uwe na watu wachache wenye kukushauri kwa ukweli na kukukosoa pale unapoenda nje ya mstari, watu hawa ni bora zaidi kwa kuwa watakuongoza kwenye njia sahihi kuliko kadamnasi inayokuongoza kwenye njia ya anguko au upotofu
 
Back
Top Bottom