Watu wengi au watu bora

Watu wengi au watu bora

So hapa mchawi hua ni tiki?

Lakini baada yapo ili kuendesha vizuri nchi
si inabidi uwe circle bora ?
Kwangu Mimi unatakiwa uwe circle ya watu wanaokuelewa wewe Kiongozi unataka nini kifanyike kwenye uongozi wako. Trump alienda kumleta Pete Hegseth kutoka kuwa mtangazaji na kumpa uwaziri wa Ulinzi (a.k.a War Minister according to Trump). Je, huyu ni mtu bora au ndiye anaweza kutafsiri Bosi anataka nini?
 
Kwangu Mimi unatakiwa uwe circle ya watu wanaokuelewa wewe Kiongozi unataka nini kifanyike kwenye uongozi wako. Trump alienda kumleta Pete Hegseth kutoka kuwa mtangazaji na kumpa uwaziri wa Ulinzi (a.k.a War Minister according to Trump). Je, huyu ni mtu bora au ndiye anaweza kutafsiri Bosi anataka nini?
Eeh amemuona ni mtu bora kwake kwa sababu anahisi ataelewa mawazo yake

Na ukute pia alimchukua kwa sababu anajua anaweza ku m challenge bila kumuogopa kama wengine

Na inaweza kua amemchukua kwa sababu anajua anaweza kumuendesha
 
Utajihisi unajitosheleza na una thamani yako bila kutegemea hali yoyote au idadi ya watu waliokuzunguka.

-self esteem
 
Utajihisi unajitosheleza na una thamani yako bila kutegemea hali yoyote au idadi ya watu waliokuzunguka.

-self esteem
Inawezekana
Lakini kuna mambo huwezi kufanya mwenyewe si ndio?
 
Kuna mambo kweli uahitaji mtu wa kushiriki naye lakini swala la thamani ni lako mwenyewe
Ndio mkuu na mada inaongelea circle
Ila hapa kwenye thamani nakuunga mkono
 
Ndio maana mimi naonaga demokrasia sio mfumo sahihi wa kupata viongozi. Siamini kabisa katika nadharia ya wengi wape. Naamini wachache werevu ndio wanatakiwa kufanya maamuzi kwa niaba ya wengi.

Mfano mzuri uchaguzi wa ndani wa CCM mwaka 2005. Top 3 viliingia vichwa viwili konki Pr. Mwandosya na Dr. Salim, pamoja na born town mmoja. Lakini kwa sababu huyu born town ni popular kwenye chama akapewa nchi. The rest is history.
 
Ndio maana mimi naonaga demokrasia sio mfumo sahihi wa kupata viongozi. Siamini kabisa katika nadharia ya wengi wape. Naamini wachache werevu ndio wanatakiwa kufanya maamuzi kwa niaba ya wengi.
Una hoja sana mkuu
Naomba ujazie jazie nyama kidogo tafadhari
 

Attachments

  • 2026_07_27_13.47.35.jpg
    2026_07_27_13.47.35.jpg
    63.9 KB · Views: 4
Back
Top Bottom