secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,071
- 42,903
😂😂 Dah!Hakika mimi naona wewe unajitosheleza
😂😂 Dah!Hakika mimi naona wewe unajitosheleza
Cheki uchaguzi wa ndani wa CCM mwaka 2005(kama ulikua tayari upo angalao olevel) . Top 3 viliingia vichwa viwili konki Pr. Mwandosya na Dr. Salim, pamoja na born town mmoja. Lakini kwa sababu huyu born town ni popular kwenye chama akapewa nchi. The rest is history.Una hoja sana mkuu
Naomba ujazie jazie nyama kidogo tafadhari
Dar. es salaam😂😂 Dah!
Huko Daslam mnaendeleaje?Dar. es salaam
Mkuu nimecheka kwenye mada serious 😅 kwa sababu huo mwaka 2005 nilikua shule ya msingi tena ngazi za mwanzoni kabisaCheki uchaguzi wa ndani wa CCM mwaka 2005(kama ulikua tayari upo angalao olevel) . Top 3 viliingia vichwa viwili konki Pr. Mwandosya na Dr. Salim, pamoja na born town mmoja. Lakini kwa sababu huyu born town ni popular kwenye chama akapewa nchi. The rest is history.
Kwa vile umesema kwa nyakati tofauti sawa naunga mkono hoja yakoBinadamu ana hitaji hao watu wa aina zote mbili kwa nyakati tofauti tofauti...
Nichukue mimi kwenye hao wachache😜Watu Bora 😊.
Watu wengi siasa zitakuwa nyingi sana.
Twin 👏👏msemo unasema, surround yourself with people who challenge you to grow, not
Ego inakufanya ujisikie vizuri kwa muda tu lakini ukosoaji wa kukujenga utakufanya uwe bora sana kwa muda mrefu zaidi ♥️🤝Ego itakufanya ujisikie vizuri kwa muda tu lakini ukosoaji wa kukujenga utakufanya uwe bora sana kwa muda mrefu zaidi.
Siku akitokea mwingine anaekubalika kwao wakishawishiwa vibaya juu yko ni hatari sanaKua na watu bora, pamoja na kukuchallenge ni rahisi kukuelewa na kupata msaada.
Circle ya mamtu kibao yanayofata wewe unasema/kufanya nini hata kama una mamlaka/pesa sio njema kwako. Ni hatari siku akitokea mwingine anaekubalika kwao, wakishawishiwa vibaya juu yako ni hatari sana, na hawareason watamuamin master wao mpya.
Yupo anarukaruka.
Kama hivi 🐸 🐸 🐸 🐸 🐸Yupo anarukaruka.
Wacha kumpakazia binti kiziwi ufanano na watu wabaya😂Ni dada yake na binti kiziwi.
Una ongelea mleta mada au mada iliyopo mezani ?Mleta mada ameandika kitu asicho kiishi kabisa..
FactMaking a hundred friends is not a miracle,
The miracle is to make a single friend who will stand by your side even when hundreds are against you.