MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,082
- Thread starter
- #61
Tuko wengi.Nalalaga ndani miezi mitatu ya mimba changa. Baada ya hapo utanikuta labour.Hayo matonsils yanasumbua watu sana.Wiki iloisha yalimshika Mr.yakampa homa hadi vidonda kwenye lips.
Nlivoona umeandika nkashtuka manake umenigusa.
ahhahaha ukute tunashare MR !huyo bora yalizid !huyu alikua analala tuu hajiwez kila kitu khaaaaaaaaa