Watu wazima kama watoto Mlimani City

Watu wazima kama watoto Mlimani City

K 4 LIFE

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
2,567
Reaction score
419
Wakuu,

Kuna hii kitu inakera sana sana, utakuta mijitu mizima wengine mpaka wana mvi kichwani pale Mlimani City wanafanya mambo kama watoto wa chekechea ukiwauliza wanadai ni uzungu.

Utakuta mwanamke mzima au mwanaume mzima amekaa chini analamba azam koni au anafyonza maziwa ya kipaketi au chupa kama mtoto au utakuta jitu zima lina fyonza pipi ya kijiti kisa usista duu na ubraza men na utozi.

Kuna haya mengine kutwa nzima anachezea magemu kama mtoto, wajameni kama mlichelewa au mlisahau kupitia stage hii ya utoto wakati mlipokua watoto na kutaka kuipractice in mature age your late.

Acheni mambo ya kitoto bwana kisa eti uzungu, uzungu uzungu Bongo bana?

Message delivered
 
Baby..umekuja nisema while koni umeninunulia mwenyewe?
 
Unataka watu waishi utakavyo wewe, ishi maisha yako joh.
 
funny never end.... halafu soma signature yangu mtoa mada ndiyo jibu ya post yako.. ila yale maandishi madogo usisome
 
Huu ugumu wa maisha huu unawafanya watu wawehuke wallah
 
Hata wale wanaokula popcorn wakati wanaangalia movie utasema ni utoto au uzungu?
 
Ukimchunguza ki undani mleta mada...utagundua njaa kali alaf mbaya ana nyota ya jalala. Tehe
Hana hela kununua ice-cream and the like at mall prices. Hahaha Nigg* u z a window shopper, looking at stuff u can't buy. Hahaha

Watu wana hate sanaa, i dnt find anything wrong wit that. Do u pay for their life or manage their time ?? Fact, Nlikua na ki date jana hapo Hahaha

Mtu una work hard to live large alaf ujibane kisa watu flan. #Rubbish.
 
Back
Top Bottom