Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
taharifa nilizopata kutoka mjini kemondo,kagera watu wawili wakamatwa wakiwa katika harakati za kuchuna ngozi watoto,raia wawasha moto,polisi waingilia kati,washambuliwa,kwa habari nilizopata sasa hao walioshikwa wako wanachomeka kwa moto,raia wameona wawachome,nikipata habari ya kinachoendelea zaid nitawajulisha