Watu wawili wachomwa moto Tabata

Watu wawili wachomwa moto Tabata

yaani huo muda wa kuwachoma hao wezi wakubwa wala hauko mbali very soon kitaeleweka
Mbona ilishatokea tayari?
Mmemsahau Mabina aliyekuwa mwenyekiti wa magamba Mwanza? Huyu alipigwa na wananchi katika ugomvi wa kugombea ardhi. Uonevu una mipka yake, kama ilivyo kwa ufisadi.
 
For sure huu utaratibu ni mzuri sana, tuachaneni na police, tuyamalize wenyewe tu kitaa. Pande zikisonga tulianzishe na kwa wazee wa Mashangingi, cz tumechoka na udharimu wa hawa wala rushwa.

Tabata mmefanya kitu cha maana sana na pongezi kwenu na Mungu kawapa nguvu ya kufanya hivyo akijua watu wake.....
 
Mkuu Incredible, nikukumbushe masikitiko juu ya kisa cha mtindo huu, kwanza nikusahihishe kuwa vijana hawa wameiba pochi hawajaiba bali wamepora kwa kukwapua. Huyu dada alikuwa akitembea kando ya barabara kisha wakatokea hao majambazi wakiwa ktk pikipiki boxer wakakwapua mkoba na kukimbia. Style hii iliwahi kumkumba raia wa nchi za Scandnavia akiwa kabeba pack yale mabegi ya watalii eneo la Upanga, barabara ya Umoja wa Mataifa, kwa kuwa lile pack alikuwa amejifunga nalo mwilini yule jambazi alipokwapua halikumtoka mwilini yule mzungu na jambazi hakuliachia, pikipiki ikiwa kwenye mwendo mkali, yule dada aliburuzwa kuanzia S/M Muhimbili hadi maeneo ya Fire, Morogoro Road, alikuwa amefariki huku akiwa ameburuzwa baadhi ya sehemu ya mwili wake mifupa ikiwa nje. Nadhani umepata picha fulani ambayo hata dada huyu wa Tabata angeweza kukumbana nayo ikiwa tu hangeachia mkoba wake. Binafsi nimefurahi kuwa yaliyowakuta maana idadi ya majambazi imepungua.
the same story 2012 mtaa wa shabaan robert mwanafunzi wa IFM aliburuzwa na chombo cha moto baada vibaka kupora begi lake la laptop tena aliburuzwa mpaka oale kwenye geti la ikulu alikuwa hatamaniki
hao bodaboda ni wakuua kabisa
 
Mbona ilishatokea tayari?
Mmemsahau Mabina aliyekuwa mwenyekiti wa magamba Mwanza? Huyu alipigwa na wananchi katika ugomvi wa kugombea ardhi. Uonevu una mipka yake, kama ilivyo kwa ufisadi.


Hicho cha mtoto, imagine watu wangapi wanakufa Muhi2 kwa kukosa huduma wakati mtu mmojaana trillions of Tshs za wizi toka kodi zetu,

Vijana wangapi wameharibikiwa maisha kwa kukosa elimu bora kwasababu ya watu kuingia mikataba fake wakachukua chao

Imagine tunakula sumu kiasi gani kutokana na watu kuingiza madawa fake ya tiba kwa binadamu, wanyama na mimea ati kwakuwa wanapata 10%

Na mengine mengi......
 
Ili kuonyesha mfano tuanzie huku chadema ambako watu wamegeuza chama saccoss yao na kutafuna ruzuku bila hata aibu
 
Hicho cha mtoto, imagine watu wangapi wanakufa Muhi2 kwa kukosa huduma wakati mtu mmojaana trillions of Tshs za wizi toka kodi zetu,

Vijana wangapi wameharibikiwa maisha kwa kukosa elimu bora kwasababu ya watu kuingia mikataba fake wakachukua chao

Imagine tunakula sumu kiasi gani kutokana na watu kuingiza madawa fake ya tiba kwa binadamu, wanyama na mimea ati kwakuwa wanapata 10%

Na mengine mengi......

yote haya yana mwisho mkuu na mwisho wake hauko mbali,ivi punde watajua
 
yote haya yana mwisho mkuu na mwisho wake hauko mbali,ivi punde watajua

kwikwikwikaikwi kwa hiyo kama kuwapata mafisadi wezi vigogo tutakuwa tunaenda makwao au tunawavizia maofisinI kwao mfano unamngojea kigogo nje hazina pale au nje ya wizara fulani akitoka tu anapewa kichapo.....cha mbwa mwizi au itatumika style gani
 


Kwa nini wasiwachome Moto Kikwete &Co.? wanatuibia tu fedha zetu!

 
Wamezidi, hizo pikipiki wangefanya boda boda kusaidia watu hapa mjini wao wanaanza kutuibia
 
For sure huu utaratibu ni mzuri sana, tuachaneni na police, tuyamalize wenyewe tu kitaa. Pande zikisonga tulianzishe na kwa wazee wa Mashangingi, cz tumechoka na udharimu wa hawa wala rushwa.

Tabata mmefanya kitu cha maana sana na pongezi kwenu na Mungu kawapa nguvu ya kufanya hivyo akijua watu wake.....

mtaani kwetu kuna mtu alichomwa na hakuwa mwizi! Inasikitisha huu utaratibu sio mzuri!
 
Back
Top Bottom