hiyo ndo dawa yao ...sahizi ni kuwachoma tu...
Hizi pikipiki hizi
Biashara ya bodaboda ipigwe marufuku irudi huko ilikoanzia Nigeria na Uganda.
Dagaa wa leo ndio mapapa wa kesho. Mungu awalaze wanapostahiliso sad vidagaa vinachomwa moto Mapapa wanaachwa
duh!dunia ya sasa ukitoka na kurudi nyumbani salama ni kushkuru mungu.
Ajabu kweli watu mnashabikia tukio hili? Ni hukumu gani mtu akiiba achomwe moto? Mbona tunachukua majumu mazito?