Habari za asubuhi wanajamvi,
Kama kilivyo kichwa cha habari hapo juu. Asubuhi ya leo kuna wezi wawili wamechomwa moto Tabata mitaa ya liwiti.
Inasemekana majambazi hao walikuwa kwenye pikipiki wakamkwapua mdada pochi ndipo watu walipowafukuzia na kuwakamata na hatimae kuchomwa moto.
Sijafanikiwa kuchukua picha ila kama kuna mwenye nazo au habari zaidi atuwekee.