Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,530
- 6,121
jamaa amefunguka vizuri sana,yaani ameonyesha madhara ya kijamii,kiuchumi yanayoweza kusababishwa na watu wasio julikanasingeli ni mziki mzuri,am proud kuusikia popote,atleast kuna baadhi ya watanzania wenzangu wametengeneza identity ya muziki wao ambao haupo sehemu nyingine popote duniani..
hahahahaMmmh huyu sasa hivi ataambiwa akaripoti mana nyimbo ina uchochezi.