Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 9,871
- 32,687
Wanaoendekeza uzinzi utafikiri wasipofanya watakufa!utafikiri ni chakula.
Mimi naungana nawewe mkuu.
Wanaoendekeza uzinzi utafikiri wasipofanya watakufa!utafikiri ni chakula.
akikutongoza ukamkataa anaanza kukutangazia mbaya na kukununia
...,"Mtu mkianza anakuvua,mkimaliza uvae mwenyewe"...
Hii huwa inaniudhi sana. Unamtumia mtu tigo pesa baada ya kukuoooomba kwa msg ndeeefu ya shida aliyonayo. Ukimpa mara hana hela ya msg moja kusema kapata asante. Mi huwa nampigia namchamba pale pale tabia mbaya huwezi hata kuandika msg kusema asante...?!Unaombwa hela ya vocha unatoa hutumiwi hata sms ya asante mpaka upige wewe tena kuuliza kama amepata.
Unampa mtu lifti unampeleka vichochoroni huko ukimfikiria ni usiku acha umfikishe. Unamfikisha anashuka anapigiza mlango anaaingia ndani kwake anafunga mlango anakuacha unachekecha gari mara saba pale ndo utoke
Lol gari ipo gereji kwa matengenezo sweet potato...Na mie naomba lift
&mtu anakuambia mkutane kumbe kashaorder chumba a&
&mtu anakuambia mkutane kumbe kashaorder chumba a&
...,"Mtu mkianza anakuvua,mkimaliza uvae mwenyewe"...
unampa dili mtu anakimbia na commission hawa ni nyau kabisa.....
Hee watu wabaya..ndo wamekufanyia hivyo?
hahahahaha...hakyamungu!!
&mtu anakuambia mkutane kumbe kashaorder chumba a&
Hahahah keimamae!