1. Anaomba lifti, ukipata pancha anashuka kupanda daladala eti ana haraka.
2. Mtu umemsaidia mpaka akajitegemea, akapata kazi nzuri kuliko wewe, anaanza kusema mmh yani yule hana maendeleo kabisa.
3. Mtu akiona mko vizuri kwenye ndoa ooh, kamtawala.......
4. Mtu anakukopa hela, ukianza kumdai anasema eti alisahau unamdai.
5. Ukifanya vizuri, eti ana bahati, ukichemka nilijua tu!
6. Kwenye mahusiano, lazima uanze wewe, simu uanze wewe, sms wewe, usipofanya umemchunia.
7.
8.
9.
Je?
2. Mtu umemsaidia mpaka akajitegemea, akapata kazi nzuri kuliko wewe, anaanza kusema mmh yani yule hana maendeleo kabisa.
3. Mtu akiona mko vizuri kwenye ndoa ooh, kamtawala.......
4. Mtu anakukopa hela, ukianza kumdai anasema eti alisahau unamdai.
5. Ukifanya vizuri, eti ana bahati, ukichemka nilijua tu!
6. Kwenye mahusiano, lazima uanze wewe, simu uanze wewe, sms wewe, usipofanya umemchunia.
7.
8.
9.
Je?