- Thread starter
- #21
Ooh! Absolutely! Hii naweza kukubali yaweza ikawa sababuWengine wanachukua mkopo kwa ajili ya ndoa, akimaliza ndoa inakuja jukum LA kulipa hapo ndo wanaisoma namba.
Wakati kule kwa binti hajamuekeza km alikopa sbb ya harusi
Ooh! Absolutely! Hii naweza kukubali yaweza ikawa sababuWengine wanachukua mkopo kwa ajili ya ndoa, akimaliza ndoa inakuja jukum LA kulipa hapo ndo wanaisoma namba.
Wakati kule kwa binti hajamuekeza km alikopa sbb ya harusi
Muungano usiofaa kivipMuunganiko usio faa.
Sio Mke tu, kuna Rafiki mwingine ukiwa nae biashara haziendi, ni hasara na mikosi kila uchao
Mi UCHUMI umeimarika, lakini cha moto nakiona kwa dada huyu wa KIGWENO.
Kuna post yake imenitoka headingKaka! Ebu tueleze chanzo huwa ni nini? Ebu tafta kwenye nondo zako navyokufaham hutakosa majibu
Ni somo refu sana, nitafute kwa simu namba ili niweze kukutumia masomo haya via WhatsappMuungano usiofaa kivip
Ni somo refu sana, nitafute kwa simu namba ili niweze kukutumia masomo haya via Whatsapp
+255 764 205 871
Huyo mgweno anakufanya nini Mkuu malalamiko yako ni hatari.Mi UCHUMI umeimarika, lakini cha moto nakiona kwa dada huyu wa KIGWENO.
EBO! Huogopi janabaVery true
Wazee wa zamani waliwahi kusema kwamba ukitaka kujua mke anakufaa basi unatembea naye halafu unatoka bila kuoga
ukifika kazini ukarudi salama na umepata ridhiki basi anakufaa
sijui kizazi cha sasa tatizo liko wapi,
lakini haya yanatokea sana na hata mimi nimeyashuhudia kwa ndugu na marafiki
Fafanua vizuri hiyo maana wengine wanahusisha na nyota kuendana/kutoendana...Ni kipindi cha mpito huwakumba wengi
Kweli.... asee.Kuna post yake imenitoka heading
Mnakutana wawili kila mmoja ana background tofauti energy tofauti...mnapokuja kukutana rasmi zile energies zinacolide ili kutengeneza energy moja (kumbuka dhana ya kuwa mwili mmoja na dhana ya watu kufanana wakiishi pamoja kwa muda mrefu)
Hiki ni kipindi cha soul reconstruction yani ni kama kukata miti kuvunja miamba ili utengeneze barabara nzuri, hiki ndio kipindi cha mpito
Kipindi hiki huchukua hata miaka 3 na Kuna baadhi soul reconstruction haianzi moja kwa moja bali mpaka baada ya mtoto wa Kwanza ...! Ni mchakato usio na formula maalum
NB: epuka kwenda kutafuta ufumbuzi kwa waganga wa kienyeji na wachawi, hawatakosa cha kukuambia lakini pia watazidi kuharibu mambo
Kweli.... asee.
Mganga hakosagi neno..
Hicho ni kigezo chenye asilimia ndogoFafanua vizuri hiyo maana wengine wanahusisha na nyota kuendana/kutoendana...
Fafanua
Huwa nakuelewa na kukukubali sana broKuna post yake imenitoka heading
Mnakutana wawili kila mmoja ana background tofauti energy tofauti...mnapokuja kukutana rasmi zile energies zinacolide ili kutengeneza energy moja (kumbuka dhana ya kuwa mwili mmoja na dhana ya watu kufanana wakiishi pamoja kwa muda mrefu)
Hiki ni kipindi cha soul reconstruction yani ni kama kukata miti kuvunja miamba ili utengeneze barabara nzuri, hiki ndio kipindi cha mpito
Kipindi hiki huchukua hata miaka 3 na Kuna baadhi soul reconstruction haianzi moja kwa moja bali mpaka baada ya mtoto wa Kwanza ...! Ni mchakato usio na formula maalum
NB: epuka kwenda kutafuta ufumbuzi kwa waganga wa kienyeji na wachawi, hawatakosa cha kukuambia lakini pia watazidi kuharibu mambo