Watu wanaochelewa kulala wako katika hatari ya kufa mapema

FikraPevu

JF-Expert Member
Jan 2, 2010
303
236
Utafiti uliotolewa hivi karibuni umebaini kuwa watu wanaochelewa kulala wana uwezekano mkubwa wa kufa mapema kuliko wale wanaoamka mapema wakati wa usubuhi.

Watafiti walibaini kuwa watu ambao walikuwa wanachelewa kulala walikuwa na hatari kwa asilimia 10 kufa mapema katika kipindi cha utafiti kuliko wale ambao wanalala mapema na kuamka mapema.

Watafiti wengine kutoka Chuo Kikuu cha Surrey nchini Uingereza na wale wa Chuo Kikuu cha Northwestern kilichopo Chicago, Marekani walibaini kuwa watu wanaochelewa kulala au wanaokesha kama bundi (night owls) wana uwezekano mkubwa wa kupata matatizo ya kisukari, akili na mfumo wa upumuaji.

Zaidi, soma => UTAFITI: Watu wanaochelewa kulala wako katika hatari ya kufa mapema
 
Utafiti uliotolewa hivi karibuni umebaini kuwa watu wanaochelewa kulala wana uwezekano mkubwa wa kufa mapema kuliko wale wanaoamka mapema wakati wa usubuhi.

Watafiti walibaini kuwa watu ambao walikuwa wanachelewa kulala walikuwa na hatari kwa asilimia 10 kufa mapema katika kipindi cha utafiti kuliko wale ambao wanalala mapema na kuamka mapema.

Watafiti wengine kutoka Chuo Kikuu cha Surrey nchini Uingereza na wale wa Chuo Kikuu cha Northwestern kilichopo Chicago, Marekani walibaini kuwa watu wanaochelewa kulala au wanaokesha kama bundi (night owls) wana uwezekano mkubwa wa kupata matatizo ya kisukari, akili na mfumo wa upumuaji.

Zaidi, soma => UTAFITI: Watu wanaochelewa kulala wako katika hatari ya kufa mapema
Asilimia kumi bado ni ndogo sana ukilinganisha na wale wanaofia usingizini ambao ni almost 50%
 
Asilimia kumi bado ni ndogo sana ukilinganisha na wale wanaofia usingizini ambao ni almost 50%
acha kututoa nje ya mada mshana jr,hajasema wanaokufa wakiwa wanatembea au wamekaa,ila ni mapema zaidi kufa ukiwa una tabia yakuchelewa kulala.sasa utakufa vipi either umelala au unatembea hayo ni ya Mungu.
 
Asilimia kumi bado ni ndogo sana ukilinganisha na wale wanaofia usingizini ambao ni almost 50%
Huenda kati yao, hao 50℅ nao hufa wakiwa usingizini. By the way, ni muda gani usiku watu hufa sana, 00:00-02:00 au 02:00-05:00?
 
huo utafiti ndio ww haujauelewa au ni uwasilishaji wako!!!

Kuna wengine tunachelewa kulala lkn tunawahi kuamka,

na muda nikipata mchana nafidia usingizi wangu.
Huu uzi utatupotezea popo wetu kijiweni
 
Back
Top Bottom