Kwahiyo unataka kusema na huyu PhD wa maganda ya korosho in mweupe kichwani?Nimepiga kitabu Russia tena st Petersburg na niko poa kila mtu ananikubali kwa kuwa makini na upstairs wewe tu na kakayako huyo mbona waliosoma hapo jalalani wako hivyo sana na weupe kichwani hadi aibu
Siunaona akili zako zilivyo wewe unajiona uko sawa wenzako wanakuona kuna hitlafu😀😁😂🤣Nimepiga kitabu Russia tena st Petersburg na niko poa kila mtu ananikubali kwa kuwa makini na upstairs wewe tu na kakayako huyo mbona waliosoma hapo jalalani wako hivyo sana na weupe kichwani hadi aibu
Nipo hapa Moscow njoo bibie nati zitulieNa ndugu pia alisoma urusi, nae ndo hivyo tena
Refer to the late Dr.Shika🙏Wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale.
Mada yangu ni kwamba kwa nini waliosoma Urusi wakirudi nchini hawarudi wakiwa sawa kwa sababu
Wengine wanaweza kurudi wakiwa na kasoro fulani
Kwa mfano kaka yangu alisoma daktari urusi Ila kuna vitu fulani nikimtazama namuona hayuko sawa Ila ni daktari mzuri sana
Alinishawishi na Mimi kusomea hiyo fani yake japo mi nilisomea mambo ya madawa
Amenifundisha vitu vingi Sana kuhusu madawa na kwa mambo aliyonifundisha naweza kumuua binadamu ndani ya sekunde kumi mpaka ishirini kwa kuchangaya haya madawa ya binadamu.
Yaani mpaka mda fulani najiuliza kuna nn urusi na siyo yeye tu nawafahamu wengi sana waliosoma urusi upande wa madaktari na fani mbali mbali ni watu ambao siyo mchezo mchezo
sasa ww bora hata usiende huko,maana tayari ushaanza uuaji kablaHapana,cjawahi kumshudia na hajawahi kuua,Ila nimejaribu hii kutesti kwa paka na panya sekunde tu
Mkuu unakosea sana kusema namna hiyo ujue!Nimepiga kitabu Russia tena st Petersburg na niko poa kila mtu ananikubali kwa kuwa makini na upstairs wewe tu na kakayako huyo mbona waliosoma hapo jalalani wako hivyo sana na weupe kichwani hadi aibu
Wakuu poleni na majukumu ya hapa na pale.
Mada yangu ni kwamba kwa nini waliosoma Urusi wakirudi nchini hawarudi wakiwa sawa kwa sababu
Wengine wanaweza kurudi wakiwa na kasoro fulani
Kwa mfano kaka yangu alisoma daktari urusi Ila kuna vitu fulani nikimtazama namuona hayuko sawa Ila ni daktari mzuri sana
Alinishawishi na Mimi kusomea hiyo fani yake japo mi nilisomea mambo ya madawa
Amenifundisha vitu vingi Sana kuhusu madawa na kwa mambo aliyonifundisha naweza kumuua binadamu ndani ya sekunde kumi mpaka ishirini kwa kuchangaya haya madawa ya binadamu.
Yaani mpaka mda fulani najiuliza kuna nn urusi na siyo yeye tu nawafahamu wengi sana waliosoma urusi upande wa madaktari na fani mbali mbali ni watu ambao siyo mchezo mchezo
Habari wakuu?
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 32,nilikuwa naishi na mzazi mwenzangu ambae tulibahatika kupata mtoto mmoja wa kiume mwenye miaka miwili sasa.mzazi mwenzangu ni mtu kutoka kabila la wahehe.
Mwaka jana mwezi wa saba nilipeleka barua ya posa nyumbani kwao na wakanipangia mahari, mipango yangu ilikuwa mwaka jana december ningeipeleka hiyo mahari huko kwao but mambo yakaingiliana hapo katikati yaliyopelekea mpaka leo bado sijaipeleka hiyo mahari.Huyu mwanamke kiukweli naweza sema ananipenda sana tu coz sijawahi kuona dosari yoyote kwake.so tatizo limeanza mwezi uliopita, ambapo alianza tabia ya kuwa anashika simu yangu hovyo akakutana na messages kutoka kwa wanawake wengine.
Well, ni kweli nilikuwa nacheat kipindi flani hivi, nilikiri kosa na kumuomba msamaha,alichosema ni kwamba amenisamehe but anahitaji nafasi kwanza ya kuwa mwenyewe coz anaona hana amani kuendelea kuishi na mimi kwa hayo yaliyojitokeza na mengine kadhaa yaliwahi kutokea siku za nyuma, nikamsihi asiondoke but ikashindikana, akaondoka na mtoto wakaenda kupanga mtaa jirani na kwangu..kiukweli sio kwamba simpendi huyu mwanamke,ila tu ni tamaa zetu wanaume ndizo zilizonifanya nikaanza kutoka nje.najua nimemuumiza sana moyo wake kwani alikuwa ni mtu mwenye matarajio makubwa sana na mimi.
Ombi langu kwenu wakuu ni kwamba,nawezaje kumrudisha huyu mwanamke ili maisha yetu yaendelee kama mwanzo?au kwa scenerio hii ya yeye kuondoka nyumbani kwa hasira na kwenda kupanga kwingine nimpotezee tu aendelee na maisha yake?na vipi nikiamua kumpotezea ile barua ya posa niliyopeleka kwao haitokuwa na madhara yoyote?
karibuni kwa mawazo yenu wakuu.
kumbe? ndo maanambona mimi nimesoma Russia
ULISHATEMBEA UCHI MKUU,KAMA ULIVYOAHIDImbona mimi nimesoma Russia
Nimepiga kitabu Russia tena st Petersburg na niko poa kila mtu ananikubali kwa kuwa makini na upstairs wewe tu na kakayako huyo mbona waliosoma hapo jalalani wako hivyo sana na weupe kichwani hadi aibu
HUYU NDIO ANAJISEMA YUKO SAWA ANGALIENI MADA ZAKE SASA
Kishindo cha Lissu kimepeperushwa na msiba wa Mkapa, sio habari tena
Ubalozi wa Marekani watoa tahadhari dhidi Corona Tanzania. Je, lini watatuacha tuishi maisha yetu?
Azam yazindua tamthilia ya kichochezi mauaji ya Wakristo, Serikali iko kimya
Hii mvua kubwa Dar ya msimu gani? Siielewei kabisa
Je, mwanao amefurahia kuanza masomo leo?
Hii tabia ya watangazaji wa Tanzania ya kuvaa makoti ya suti na suruali za jinsi imekaaje?
Threads zangu zinaunganishwa bila sababu ya msingi
Wanawake: Eti mimi marafiki zangu wote wanaume, shame on you
Chonde chonde Rais Magufuli usikubali Lowassa arudi CCM
Wachumba (ke) wana tabia ya kulazimisha ndoa
Msaada Nokia asha 320 calls
Jalalani ndiyo wapiNimepiga kitabu Russia tena st Petersburg na niko poa kila mtu ananikubali kwa kuwa makini na upstairs wewe tu na kakayako huyo mbona waliosoma hapo jalalani wako hivyo sana na weupe kichwani hadi aibu
Umenifungulia kitu. Sikuwahi kujua kwamba drinking culture yao inachochewa na baridi.Urusi ni nchi yenye baridi kali duniani.ili umudu baridi iliyopo urusi whisky ni chai ya asubuhi, chakula Cha mchana na Cha jioni.hadi umalize miaka 7 ubongo ulisha kolea pombe.ukirudi huku unskutana na serengeti lager unachanganyikiwa
TSAR BOMB unaijua wewe .Elimu ya urusi ina tisha sana ingia kwenye majarida au documentary utaona mambo wanaoyo fanya urusi,unaweza kusema hivi huyu ni binadamu au kichaaa mfano ndege kubwa kujengwa antonov 225View attachment 1594024
The Soviet RDS-220 bom hili bomu hata dunia ilibidi kukaa chini maana sio bomu ni kulipua dunia ilitumika sample