KimpaGhasha
JF-Expert Member
- Jun 21, 2020
- 327
- 464
Nawe ofisin kwako wanakazi kweli,Nina watu fulani wafupi ofisi Mate. Kitu kidog tu kesi. Wanatabia ya kupenda uspesho fulani hivi. Yaani hakuna kilema kizuri ila ukisikia ulemavu, acha kabisa ulemavu ni maumivu makubwa sana.
Ukitaka uprove hili utaonaka Kwa shortsized people. Utaona kasoro kibao. Ukiwa kiongozi hakikisha unawapa short people special care. Hawa ni special group
Dah acheni nyie ufupi ni kilema kibaya sana.
Yaani emerging anatafuta kisingizio tu.
Aku let down. Nionavyo mie sisi sote tumeumbwa na mungu mmoja, ni marehem watarajiwa. Tuwape speciality, Pana dada mmoja ninakawaida ya kumpa ukarimu upendo, Kwa kweli ananipenda na tunaheshimiana, ila ufupi unamtesa sana. Jamaa weusi wafupi mungu wangu, yaan balaa, lkn naona tuwapende ni wenzetu tusijifanye tumewapita urefu.
Tukiongea nao tupindishe goti tupungue urefu kiasi. Mimi marehem x najua sitaishi milele.
View attachment 2784563View attachment 2784565
Muulize Antonnia mamaaa wa vinaKi
Kina Gani master.
Tunadensi na tyuniiiMbona huwa ninahisi una akili??
Huyo mleta mada ni msengeKwani ufupi wa mtu ww unaupimaje? Acheni dharau , mbona wapo WATU wafupi na wako poa tu , hayo ni matatizo ya mtu binafsi hayahusiani na maumbile
Wabishi, wanagubu...
Watu wafupi ni shidaaa...
Acheni dhambiHalafu ukute ni mfupi, mweusi halafu mnene....
Mbona utajuta...
Alafu ukute muhayaHalafu ukute ni mfupi, mweusi halafu mnene....
Mbona utajuta...
Sisi wahaya hamuishi kukutajaAlafu ukute muhaya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Halafu ukute ni mfupi, mweusi halafu mnene....
Mbona utajuta...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tukimaliza hii tuje na wanawake wafupi nao. dugu moja. ukimkazia tu macho anauliza kwanini unaniangalia sana? ushanunua kesi hapo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah you made my day mkuu.....back to the topic mtuache sisi short chesisKuna mtu mfupi mmoja aliwahi kunitishia maisha nikamuangaliaa nikaingiza mkono mfukoni nikatoa mia mbili nikampa hela ya pipi
akaendelea kuwa mkali ila kila nikimuangakia naona nikikapiga nakaua.