TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,914
- 23,079
kwahiyo pale anapotembeza karanga huwa anatumia upepo sio nguvu tenaHuna haja ya kwenda mbali jiulize tu Reli ya kati wakati inajengwa enzi za mjerumani kama kulikuwa na crane au Yale mataluma yalibebwa na waafrika enzi hizo ,sasa hivi kijana jabali kabisa katoka mkoani anatembeza soksi na boksa .Kiufupi binadamu nguvu na akili anayo basi tu.Hakuna kitu kinanikera kama kuona kijana mwenye nguvu zake eti anatembeza karanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko misri kuna pyramid kubwa ambazo juu zina mawe makubwa kukadiliwa uzito wa tan 4 na zilijengwa enzi za zamani kabla ya kuja mitambo ya kunyanyua vitu vizito (crane).
Hata pale Zanzibar ukipita baadhi ya mitaa utaona magofu ambayo juu kuna majabali ya mawe mazito na inasemekana ni watu wa kale waliyapandisha.
Je; watu Wa zamani waliwezaje kupandisha blocks/mawe mazito urefu wote huo bila kutumia crane? au walitumia ndumba?
View attachment 1019253
pyramids zilijengwa na viumbe kutoka sayari ingine!fafanua
Mbona jayant nipo huku tulikua tukibeba beganiHuko misri kuna pyramid kubwa ambazo juu zina mawe makubwa kukadiliwa uzito wa tan 4 na zilijengwa enzi za zamani kabla ya kuja mitambo ya kunyanyua vitu vizito (crane).
Hata pale Zanzibar ukipita baadhi ya mitaa utaona magofu ambayo juu kuna majabali ya mawe mazito na inasemekana ni watu wa kale waliyapandisha.
Je; watu Wa zamani waliwezaje kupandisha blocks/mawe mazito urefu wote huo bila kutumia crane? au walitumia ndumba?
View attachment 1019253
Assumption principal!!!dmkali, Director Cosmopolitan, Losser Bad
... it is very simple; kwani likijengwa jukwaa kubwa sana kuzunguka eneo lote na refu kuliko pyramid lenyewe halafu wakapanda na kujipanga safu safu za wanaume say 1,000 juu kule kisha jabali likafungwa kamba za kutosha watashindwa kunyanyua hizo kg. 4,000 (tani 4) mfano wa crane za leo? Hapo si wastani wa kg. 4 kwa kila mtu? Hata watu 100 tu wanatosha; just 40kg per person!
Vitu vingine wala sio miujiza ni akili kidogo tu as long as you can mobilize the resources! Kumbuka hao walikuwa watumwa na pyramid ni kwa ajili ya kuzika wafalme so, kama ni watu haikuwa issue maana watumwa walikuwepo na hata kufa au kupona kwao wakati wa kazi haikuwa issue - muhimu "punda afe lakini mzigo ufike". Kama ni resources, nimeshakuambia hazikuwa nyumba za maskini bali makaburi ya wafalme; so, resources kama chakula, malighafi, vitendea kazi, n.k. halikuwa tatizo.
Karne ya 17??Walitumia principle za physics
"Pulley system" ambayo ilikuepo tangu karne ya 17
Kwa sasa,
Pulley System imekua modified zaidi kuweza kuunda hizo cranes, lift Elevators n.k
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashawishika kujua kazi unayofanya.Huna haja ya kwenda mbali jiulize tu Reli ya kati wakati inajengwa enzi za mjerumani kama kulikuwa na crane au Yale mataluma yalibebwa na waafrika enzi hizo ,sasa hivi kijana jabali kabisa katoka mkoani anatembeza soksi na boksa .Kiufupi binadamu nguvu na akili anayo basi tu.Hakuna kitu kinanikera kama kuona kijana mwenye nguvu zake eti anatembeza karanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nibukue kwanza. Ila inaweza kuwa walitumia pulley na kamba au minyororo. Tuendelee kutafutia, yeyote atakayeona facts zaidi atuambie.Huko misri kuna pyramid kubwa ambazo juu zina mawe makubwa kukadiliwa uzito wa tan 4 na zilijengwa enzi za zamani kabla ya kuja mitambo ya kunyanyua vitu vizito (crane).
Hata pale Zanzibar ukipita baadhi ya mitaa utaona magofu ambayo juu kuna majabali ya mawe mazito na inasemekana ni watu wa kale waliyapandisha.
Je; watu Wa zamani waliwezaje kupandisha blocks/mawe mazito urefu wote huo bila kutumia crane? au walitumia ndumba?
View attachment 1019253
Picha/mchoro ulioweka rough sana.mbayaHuko misri kuna pyramid kubwa ambazo juu zina mawe makubwa kukadiliwa uzito wa tan 4 na zilijengwa enzi za zamani kabla ya kuja mitambo ya kunyanyua vitu vizito (crane).
Hata pale Zanzibar ukipita baadhi ya mitaa utaona magofu ambayo juu kuna majabali ya mawe mazito na inasemekana ni watu wa kale waliyapandisha.
Je; watu Wa zamani waliwezaje kupandisha blocks/mawe mazito urefu wote huo bila kutumia crane? au walitumia ndumba?
View attachment 1019253
Huna haja ya kwenda mbali jiulize tu Reli ya kati wakati inajengwa enzi za mjerumani kama kulikuwa na crane au Yale mataluma yalibebwa na waafrika enzi hizo ,sasa hivi kijana jabali kabisa katoka mkoani anatembeza soksi na boksa .Kiufupi binadamu nguvu na akili anayo basi tu.Hakuna kitu kinanikera kama kuona kijana mwenye nguvu zake eti anatembeza karanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ninyi mnaosoma history kwa dictionary halafu mnakuja kujaza matangopori humu!dmkali, Director Cosmopolitan, Losser Bad
... it is very simple; kwani likijengwa jukwaa kubwa sana kuzunguka eneo lote na refu kuliko pyramid lenyewe halafu wakapanda na kujipanga safu safu za wanaume say 1,000 juu kule kisha jabali likafungwa kamba za kutosha watashindwa kunyanyua hizo kg. 4,000 (tani 4) mfano wa crane za leo? Hapo si wastani wa kg. 4 kwa kila mtu? Hata watu 100 tu wanatosha; just 40kg per person!
Vitu vingine wala sio miujiza ni akili kidogo tu as long as you can mobilize the resources! Kumbuka hao walikuwa watumwa na pyramid ni kwa ajili ya kuzika wafalme so, kama ni watu haikuwa issue maana watumwa walikuwepo na hata kufa au kupona kwao wakati wa kazi haikuwa issue - muhimu "punda afe lakini mzigo ufike". Kama ni resources, nimeshakuambia hazikuwa nyumba za maskini bali makaburi ya wafalme; so, resources kama chakula, malighafi, vitendea kazi, n.k. halikuwa tatizo.
Zama zile hakukuwa na utaalamu wa ujenzi wa namna ile.Ni dhahiri teknolojia iliyotumika ilitoka sayari ingine
kwakweliNdio ninyi mnaosoma history kwa dictionary halafu mnakuja kujaza matangopori humu!
Tuanze na mawe yenyewe tools gani enzi hizo (precision instruments) kama micrometer, zilitumika kupima, kuchonga au kuyakata na kuyasafirisha mawe yale hadi kwenye sites? Hao "wanaume" au watumwa wote kwa mamia na maelfu waliishije mbona yamebaki mummies wa wafalme tu? Na hakuna kifaa hata kimoja kilichoonekana maeneo hayo, viliondoleewa au viliyeyukaje? Yaani msumeno utumike kukatia jiwe haupo, halafu mwili wa binadamu (mfalme) aliyeutumia uonekane leo lakini vitendeakazi vyake kama msumeno wake uyeyuke kabisa hata jino lake moja tu hakuna! Ni ajabu sana. Inatupasa kujiuliza sisi je! Tutaacha ustaarabu gani kwa vizazi vijavyo?