Ze last Born
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 1,770
- 3,854
Wale walikuwa hawali chips period
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wale walikuwa hawali chips period
Sent from my iPhone using JamiiForums
Kwanini unassume?assumptions zako ni za uongo.Zama zile hakukuwa na utaalamu wa ujenzi wa namna ile.Ni dhahiri teknolojia iliyotumika ilitoka sayari ingine
Bro; huo ni mtazamo wangu kuonesha kwamba inawezekana; it is not conclusive kwamba ndivyo walivyofanya as there could be some other means kwa teknolojia ya nyakati hizo.Ndio ninyi mnaosoma history kwa dictionary halafu mnakuja kujaza matangopori humu!
Tuanze na mawe yenyewe tools gani enzi hizo (precision instruments) kama micrometer, zilitumika kupima, kuchonga au kuyakata na kuyasafirisha mawe yale hadi kwenye sites? Hao "wanaume" au watumwa wote kwa mamia na maelfu waliishije mbona yamebaki mummies wa wafalme tu? Na hakuna kifaa hata kimoja kilichoonekana maeneo hayo, viliondoleewa au viliyeyukaje? Yaani msumeno utumike kukatia jiwe haupo, halafu mwili wa binadamu (mfalme) aliyeutumia uonekane leo lakini vitendeakazi vyake kama msumeno wake uyeyuke kabisa hata jino lake moja tu hakuna! Ni ajabu sana. Inatupasa kujiuliza sisi je! Tutaacha ustaarabu gani kwa vizazi vijavyo?
Watu wa Egypt walikuwa na desturi ya kutunza kumbu kumbu za matukio mbalimbali ila hakuna kumbu kumbu hata moja ya ujenzi wa pyramid.
Bro pyramid zina miaka mingi kabla hata yesu hajazaliwa,unazungumzia karne ya 17,mimi naanza shule!!!
acha kutudanganya mapema yote hii uongo mwingine muupime kabla ya kuleta humu bwana. hata mtoto mchanga atakushangaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha kweli, hajawahi kujiuliza hata zile nyumba za miti wazazi wetu walikuwa wanatumia nguzo kubwa ambazo vijana wa Leo hawawezi kuinyanyua mtu mmoja walizebebaje kutoka porini ?Huna haja ya kwenda mbali jiulize tu Reli ya kati wakati inajengwa enzi za mjerumani kama kulikuwa na crane au Yale mataluma yalibebwa na waafrika enzi hizo ,sasa hivi kijana jabali kabisa katoka mkoani anatembeza soksi na boksa .Kiufupi binadamu nguvu na akili anayo basi tu.Hakuna kitu kinanikera kama kuona kijana mwenye nguvu zake eti anatembeza karanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Soma vizur sio pyramid zote ni burial chambersdmkali, Director Cosmopolitan, Losser Bad
... it is very simple; kwani likijengwa jukwaa kubwa sana kuzunguka eneo lote na refu kuliko pyramid lenyewe halafu wakapanda na kujipanga safu safu za wanaume say 1,000 juu kule kisha jabali likafungwa kamba za kutosha watashindwa kunyanyua hizo kg. 4,000 (tani 4) mfano wa crane za leo? Hapo si wastani wa kg. 4 kwa kila mtu? Hata watu 100 tu wanatosha; just 40kg per person!
Vitu vingine wala sio miujiza ni akili kidogo tu as long as you can mobilize the resources! Kumbuka hao walikuwa watumwa na pyramid ni kwa ajili ya kuzika wafalme so, kama ni watu haikuwa issue maana watumwa walikuwepo na hata kufa au kupona kwao wakati wa kazi haikuwa issue - muhimu "punda afe lakini mzigo ufike". Kama ni resources, nimeshakuambia hazikuwa nyumba za maskini bali makaburi ya wafalme; so, resources kama chakula, malighafi, vitendea kazi, n.k. halikuwa tatizo.
Kumbukumbu mpaka leo zipo sema hazijaachwa wazi kama vitabu vyetu vya sasa . Ndio maana unaona wanasayansi wengi wa kipindi cha sasa wanahangaika kutafsiri hayo mafunzokwa lugha za sasa ili kuona technology ya zamani ilikuwa vipi.Watu wa Egypt walikuwa na desturi ya kutunza kumbu kumbu za matukio mbalimbali ila hakuna kumbu kumbu hata moja ya ujenzi wa pyramid.
Pili mainjinia wa kisasa walijaribu kujenga pyramid lakini hawakufanikiwa kujenga pyramid kubwa kama za enzi hizo.Pyramid waliyojenga ilikuwa ni 1/40 ya pyramid za asili.
What about the fact that the Egyptians had not even invented the wheel yet, but the blocks that they had to carry to build the pyramids weighed about 2 tons each?
If you take the perimeter of the pyramid and divide it by two times the height, you get a number that is exactly equivalent to the number pi (3.14159...) up to the fifteenth digit. The chances of this phenomenon happening by sheer chance is remarkably small. Did the ancient Egyptians know what the number pi was? Not likely, seeing as it was a number not calculated accurately to the fourth digit until the 6th century, and the pyramids calculate it to the fifteenth.
What about the fact that even though the sides of the base of the pyramid are some 757 feet long, it still forms an almost perfect square? Every angle in the base is exactly 90 degrees. In fact, the sides have a difference in length of something like two centimeters, which is an incredibly small amount.
Huo ni ushahidi kuwa pyramids zilijengwa na viumbe wa sayari nyingine waliotembelea dunia miaka mingi iliyopita
Kwa watu wa zamani ilikuwa rahisi na hapo ndio mchezo wa GOLF ulipoanzia. Jiwe lilikuwa linawekwa chini linapigwa na GONGO/FIMBO linaenda kutua juu kiroho safi tu....hivyo tu Yani.....zamani palikuwa patamu Sana!Huko misri kuna pyramid kubwa ambazo juu zina mawe makubwa kukadiliwa uzito wa tan 4 na zilijengwa enzi za zamani kabla ya kuja mitambo ya kunyanyua vitu vizito (crane).
Hata pale Zanzibar ukipita baadhi ya mitaa utaona magofu ambayo juu kuna majabali ya mawe mazito na inasemekana ni watu wa kale waliyapandisha.
Je; watu Wa zamani waliwezaje kupandisha blocks/mawe mazito urefu wote huo bila kutumia crane? au walitumia ndumba?
View attachment 1019253
Angalia Pyramids hizo vizuri kisha tafakaridmkali, Director Cosmopolitan, Losser Bad
... it is very simple; kwani likijengwa jukwaa kubwa sana kuzunguka eneo lote na refu kuliko pyramid lenyewe halafu wakapanda na kujipanga safu safu za wanaume say 1,000 juu kule kisha jabali likafungwa kamba za kutosha watashindwa kunyanyua hizo kg. 4,000 (tani 4) mfano wa crane za leo? Hapo si wastani wa kg. 4 kwa kila mtu? Hata watu 100 tu wanatosha; just 40kg per person!
Vitu vingine wala sio miujiza ni akili kidogo tu as long as you can mobilize the resources! Kumbuka hao walikuwa watumwa na pyramid ni kwa ajili ya kuzika wafalme so, kama ni watu haikuwa issue maana watumwa walikuwepo na hata kufa au kupona kwao wakati wa kazi haikuwa issue - muhimu "punda afe lakini mzigo ufike". Kama ni resources, nimeshakuambia hazikuwa nyumba za maskini bali makaburi ya wafalme; so, resources kama chakula, malighafi, vitendea kazi, n.k. halikuwa tatizo.
Ni kweli kuwa wa-egypt waliacha kumbu kumbu za mambo karibia yote waliypfanya ila si suala la namna walivyojenga ma-pyramid.Haijulikani kwa uhakika walitumia teknolojia gani katika ujenziKumbukumbu mpaka leo zipo sema hazijaachwa wazi kama vitabu vyetu vya sasa . Ndio maana unaona wanasayansi wengi wa kipindi cha sasa wanahangaika kutafsiri hayo mafunzokwa lugha za sasa ili kuona technology ya zamani ilikuwa vipi.
Wamefanikiwa kwq kiasi kikibwa ila sio asilimia 100.
Mfano wa maandishi ya zamani
Mfano wa herufi zilizotafsiriwa.
waizraeli walifanya hiyo kazi walipokuwa utumwani misri hawatakaa wasahau enzi za farao.Waizraeli akili kubwa sana wamejaliwa na Mungu kitu cha ziadaHuko misri kuna pyramid kubwa ambazo juu zina mawe makubwa kukadiliwa uzito wa tan 4 na zilijengwa enzi za zamani kabla ya kuja mitambo ya kunyanyua vitu vizito (crane).
Hata pale Zanzibar ukipita baadhi ya mitaa utaona magofu ambayo juu kuna majabali ya mawe mazito na inasemekana ni watu wa kale waliyapandisha.
Je; watu Wa zamani waliwezaje kupandisha blocks/mawe mazito urefu wote huo bila kutumia crane? au walitumia ndumba?
View attachment 1019253
Unategemea jiwe likatwe na msumenoNdio ninyi mnaosoma history kwa dictionary halafu mnakuja kujaza matangopori humu!
Tuanze na mawe yenyewe tools gani enzi hizo (precision instruments) kama micrometer, zilitumika kupima, kuchonga au kuyakata na kuyasafirisha mawe yale hadi kwenye sites? Hao "wanaume" au watumwa wote kwa mamia na maelfu waliishije mbona yamebaki mummies wa wafalme tu? Na hakuna kifaa hata kimoja kilichoonekana maeneo hayo, viliondoleewa au viliyeyukaje? Yaani msumeno utumike kukatia jiwe haupo, halafu mwili wa binadamu (mfalme) aliyeutumia uonekane leo lakini vitendeakazi vyake kama msumeno wake uyeyuke kabisa hata jino lake moja tu hakuna! Ni ajabu sana. Inatupasa kujiuliza sisi je! Tutaacha ustaarabu gani kwa vizazi vijavyo?
Kulinganisha reli ya kati INA miaka 100 na pyramid miaka 3000 ilyopita ,sioni uhsiano.Huna haja ya kwenda mbali jiulize tu Reli ya kati wakati inajengwa enzi za mjerumani kama kulikuwa na crane au Yale mataluma yalibebwa na waafrika enzi hizo ,sasa hivi kijana jabali kabisa katoka mkoani anatembeza soksi na boksa .Kiufupi binadamu nguvu na akili anayo basi tu.Hakuna kitu kinanikera kama kuona kijana mwenye nguvu zake eti anatembeza karanga
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetoa mfano wa karibu zaidi ili iwe rahisi kueleweshana ,hiyo miaka 3000 tueleweshe wewe ilivyokuwa.Kulinganisha reli ya kati INA miaka 100 na pyramid miaka 3000 ilyopita ,sioni uhsiano.
Sent using Jamii Forums mobile app