TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 23,815
- 22,937
Hata sasa hivi ukihitaji kupandisha hilo jiwe la tani nne bila crane inawezekana, kama kuna ulazima. Hivi unadhani ule msemo wa 'tunaweza kuamisha mlima Kilimanjaro kwa mikono' ulikuwa wa utani!? La asha!!