MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,484
- 20,437
Katika sherehe za miaka 60 ya mapinduzi nilishtuka kuona pembeni ya mme wa rais ndugu Hafidh kukaa rais mstaafu Kikwete.
Mpangilio huu ulimfanya Hafidh kukosa furaha na utulivu muda wote wa sherehe nadhani hii ilisababishwa na mzee wetu kutokuwa karibu na wanasiasa na wajeda.
Kwa mujibu wa protakali Kikwete alikuwa na sehemu mbili tu za kukaa.
Pembeni ya mwanajeshi mwenzake Kinana au pembeni ya rais mstaafu mwenzake Karume.
Mpangilio huu ulimfanya Hafidh kukosa furaha na utulivu muda wote wa sherehe nadhani hii ilisababishwa na mzee wetu kutokuwa karibu na wanasiasa na wajeda.
Kwa mujibu wa protakali Kikwete alikuwa na sehemu mbili tu za kukaa.
Pembeni ya mwanajeshi mwenzake Kinana au pembeni ya rais mstaafu mwenzake Karume.