Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

Kuchapa watu sio kuoazimishana? Shekh umevembewa uftari?
Hao wanaochapa watu ni serikali au vijana tu wa mtaani? maana sio unakuja hapa kufungua uzi na picha ya miaka mitatu nyuma yenye kuwahusu vijana wa kipemba huko mtaani halafu unalaumu waislamu,maana hao vijana siku wakikaba watu huko utakuja kusema waislamu waislamu wakabaji?
 
Ndio ni waislam vitendo km hivyo haviwezi kufanywa na watu waliostaarabika
Hao wanaochapa watu ni serikali au vijana tu wa mtaani? maana sio unakuja hapa kufungua uzi na picha ya miaka mitatu nyuma yenye kuwahusu vijana wa kipemba huko mtaani halafu unalaumu waislamu,maana hao vijana siku wakikaba watu huko utakuja kusema waislamu waislamu wakabaji?
 
Pemba ipo ndani ya jamuhuri ya Tanzania, haiwezekani wawe tofauti na utamaduni wetu watanzania utamaduni wakuvumiliana
La sivyo mwisho wao ni mbaya lazima watanyea debe
Unaona sasa! utasemaje mfano hauhusiani na wewe umezungumzia suala la uhuru? mimi nakwambia hizo ni taratibu zao wenyewe wapemba wewe unasema habari za uhuru ndio maana ni neno pana.
 
Ndio ni waislam vitendo km hivyo haviwezi kufanywa na watu waliostaarabika
Kuwa waislamu sio tatizo mbona wapo waislamu ambao ni walevi,wazinzi,wezi,wauwaji,mafisadi n.k kamq walivyo watu wengine. Sasa kama watu wa imani zengine huko ni malaika kwamba hawafanyi makosa yeyote basi kweli waislamu wanapaswa kulaumiwa.
 
Najua wapo ila moja ya sifa mbaya uislam ni kushindwa kuvumillia wasio waislam nyie mnawaita makafiri

Nyie ni watu msiojiamini kutokana na mafundisho yenu yanayojenga chuku kwa waumini wenu

....ndugu zangu katika uislam.... Wasio waislam hawawezi kuwa ndugu zako?
Kuwa waislamu sio tatizo mbona wapo waislamu ambao ni walevi,wazinzi,wezi,wauwaji,mafisadi n.k kamq walivyo watu wengine. Sasa kama watu wa imani zengine huko ni malaika kwamba hawafanyi makosa yeyote basi kweli waislamu wanapaswa kulaumiwa.
 
Pemba ipo ndani ya jamuhuri ya Tanzania, haiwezekani wawe tofauti na utamaduni wetu watanzania utamaduni wakuvumiliana
La sivyo mwisho wao ni mbaya lazima watanyea debe
We hujielewi kabisa hata unachojadili humu..sijui hata kama tamaduni unaelewa ni nini? halafu kibaya zaidi unachanganya mambo mawili yani serikali kufunga hizo biashara na suala la hao vijana wa mtaani kuchapa watu bakora.
 
Mi kuna maneno naandika ili kupima uelewa wako pia
Hao ni vijana waislam ndio waliofanya huo uhalifu wa kuwaonea wasio waislam eti kisa hawajafunga, hapo unaona kabisa hao vijana kichwani kuna giza tu kwasababu wamepata mafunzo kutoka kwenye msaafu

Unafikiri hao wakiambiwa chukua bomu kalipue kanisani watakataa? Au wakiambiwa na viongozi wao wa dini chukua tindikali kamwagie padri watakataa?

Mnahitaji transformation muache kufundishana chuki km kweli hiyo ni dini ya Mungu na sio mungu
We hujielewi kabisa hata unachojadili humu..sijui hata kama tamaduni unaelewa ni nini? halafu kibaya zaidi unachanganya mambo mawili yani serikali kufunga hizo biashara na suala la hao vijana wa mtaani kuchapa watu bakora.
 
Najua wapo ila moja ya sifa mbaya uislam ni kushindwa kuvumillia wasio waislam nyie mnawaita makafiri
Nyie ni watu msiojiamini kutokana na mafundisho yenu yanayojenga chuku kwa waumini wenu
....ndugu zangu katika uislam.... Wasio waislam hawawezi kuwa ndugu zako?
Dah unaongea utumbo kichiz yani,si ajabi hapo una ndugu majirani na marafiki ambao waislamu halafu unakuja humu unasema waislamu wana mafundisho ya chuki wanaitana wenyewe ndugu. Unachukia kuitwa kafiri wakati hilo neno lina maana yake na halina lengo la kumuudhi mtu,ila leo waislamu wanaitwa magaidi na ishaonekana jambo la kawaida,ungekuwa na uvumilivu ungevumilia tu kuitwa kafiri kama mnavyoita wenzenu magaidi na uislamu ni ugaidi. Yani neno ugaidi ni kwa ajiri ya waislamu tu ilq mwengine akifanya ugaidi haitwi gaidi kwa sababu sio muislamu.
 
Mi kuna maneno naandika ili kupima uelewa wako pia
Hao ni vijana waislam ndio waliofanya huo uhalifu wa kuwaonea wasio waislam eti kisa hawajafunga, hapo unaona kabisa hao vijana kichwani kuna giza tu kwasababu wamepata mafunzo kutoka kwenye msaafu
Unafikiri hao wakiambiwa chukua bomu kalipue kanisani watakataa? Au wakiambiwa na viongozi wao wa dini chukua tindikali kamwagie padri watakataa?
Mnahitaji transformation muache kufundishana chuki km kweli hiyo ni dini ya Mungu na sio mungu
Msahafu gani unafundisha watu kuchapa bakora? kwahiyo unataka kusema mnavyonyweshana jik huko makanisani ni mafundisho ya biblia?

Yani mtu umeenda kuchukua picha ya mwaka juzi ya vijana wa mtaani huko na kujakuitumia kuuponda uislamu,halafu wewe ndio useme huna chuki ila waislamu ndio wana chuki?
 
Msahafu gani unafundisha watu kuchapa bakora? kwahiyo unataka kusema mnavyonyweshana jik huko makanisani ni mafundisho ya biblia?

Yani mtu umeenda kuchukua picha ya mwaka juzi ya vijana wa mtaani huko na kujakuitumia kuuponda uislamu,halafu wewe ndio useme huna chuki ila waislamu ndio wana chuki?
Acheni kufundishana chuki huko misikitini
Maajabu swala tano kwa siku na bado mtu anameza Bomu? Hivi lini mtaacha kumchezea Alah!!
Waislamu ni ndugu zetu tunaishi nao mtaani wengi wanamitazamo mibaya kuhusu wasio waislam
Ndio maana kupitia mafundisho ya mashekh wakapindikiza chuki kwa vijana hadi padri akamwagiwa tindikali huko
 
Acheni kufundishana chuki huko misikitini
Maajabu swala tano kwa siku na bado mtu anameza Bomu? Hivi lini mtaacha kumchezea Alah!!
Waislamu ni ndugu zetu tunaishi nao mtaani wengi wanamitazamo mibaya kuhusu wasio waislam
Ndio maana kupitia mafundisho ya mashekh wakapindikiza chuki kwa vijana hadi padri akamwagiwa tindikali huko
Sioni sababu ya waislamu kuwa na chuki kwa wasio waislamu tatizo wakristo wengi hawataki kujua hata kidogo kuhusu uislamu ila kutwa kusema waislamu wanafuga majini wachawi Qur'an kitabu cha mashetani wafiraji magadi n.k hayo hayana maana yeyote zaidi ya kuwaudhi waislamu ila bado et waislamu ndio wanafundishana chuki!!!

Unakuta mtu hadi leo hajui kama Qur'an imetafsiriwa kwa lugha mbalimbali hadi kwa kiswahili,lakini huyo hiyo unakuta naye anasema sijui Qur'an inafundisha ugaidi mara sijui hivi mara vile. Hivi kama sio chuki ni nini?
 
Nasema ni chuki kwa sababu wanaofanya hivyo ni wazanzibar wenyewe wamejiwekea taratibu hiyo ila wewe unasema waislamu wanalazimisha watu kufunga biashara yani husemi kuwa wapemba ndio hufanya hivyo bali unawahusisha waislamu kabisa,sasa kama sio chuki ni nini? unachopaswa wewe ni kuheshimu taratibu za watu kama ambavvyo wao wapemba wakija huku bara hawasemi biashara zifungwe mwezi wa ramadhani kwa sababu huku sio pemba hivyo hakuna hizo taratibu.
Nasema ni Waislam kwa kuwa Hilo tatizo halipo Pemba tu, lipo Zanzibar yote, na sio Zanzibar tu, lipo karibia nchi zote zenye Muslim majority mfano, Iran nao wana utaratibu kama huu, Saudia, Bahrain n.k
 
Nasema ni Waislam kwa kuwa Hilo tatizo halipo Pemba tu, lipo Zanzibar yote, na sio Zanzibar tu, lipo karibia nchi zote zenye Muslim majority mfano, Iran nao wana utaratibu kama huu, Saudia, Bahrain n.k
Ngoja nikuulize je sehemu zenye wakristo wengi huwa nao wanafanya nini?
 
View attachment 1094622

Vijana hapo juu wamecharazwa bakora na vijana wa kiuslam baada ya kukutwa sehemu wanakula kilaji na nyama choma lkn haikuwa hadharani walikaa eneo la ndani (uani)

Huo ubabe mnaofanya mtajutia nyie vijana
Funga ni kujuzuia wewe kula na sio kumzuia jirani yako kula

Kama umeshindwa kuvumilia wengine wewe hufai kufunga

Sasa tukiwatuma vijana wa kiha miamoja waje huko ili waje wawape kichapo na nyie ili muache uonevu
kuna kitu kinaitwa " cultural sensitivity" binadamu anayejitambua lzimakiishi. unaenda kula kitu kilicho haramishwa kwa watu walioharamishiwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom