Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

Watu wa Pemba acheni mara moja hii tabia

View attachment 1094622

Vijana hapo juu wamecharazwa bakora na vijana wa kiuslam baada ya kukutwa sehemu wanakula kilaji na nyama choma lkn haikuwa hadharani walikaa eneo la ndani (uani)

Huo ubabe mnaofanya mtajutia nyie vijana
Funga ni kujuzuia wewe kula na sio kumzuia jirani yako kula

Kama umeshindwa kuvumilia wengine wewe hufai kufunga

Sasa tukiwatuma vijana wa kiha miamoja waje huko ili waje wawape kichapo na nyie ili muache uonevu
hii video ina miaka mi5 nyuma, siku hizi hakuna hizo, sasa hivi hawapigwi na wanalindwa sema tu hawawezi kula hadharani, kitu ambacho kinanishangaza tunaofunga bara ndio tunafunga manake unapofunga vishawishi vingi inabidi uvikwepe, umefunga na upo kwa mwendo kasi uliyekaa nae anatafuna karanga sasa majaribu kama yale unapoyashinda ndio kufunga sio unazuia mwenzako asile, migahawa yote imefungwa, ila ya chama chao ipo wazi,
 
Ulishasikia wakilazimishwa kufunga kwaresma?
Wewe unazungumzia mambo ambayo waislamu hufanya wakiwa wengi kama hapo Zanzibar na baadhi ya nchi,sasa mimi nakuuliza je wakristo wakiwa wengi huwa nao wanafanya nini?
 
Hoteli nazo si zimefungwa? Na nikiingia mgahawani pia nitakua nimekula hadharani?

Hoteli za kulala wageni hazijafungwa. Kama ni kula unakuwa uko ndani hakuoni mtu huko . Mikahawa inafunguliwa jioni .
 
hii video ina miaka mi5 nyuma, siku hizi hakuna hizo, sasa hivi hawapigwi na wanalindwa sema tu hawawezi kula hadharani, kitu ambacho kinanishangaza tunaofunga bara ndio tunafunga manake unapofunga vishawishi vingi inabidi uvikwepe, umefunga na upo kwa mwendo kasi uliyekaa nae anatafuna karanga sasa majaribu kama yale unapoyashinda ndio kufunga sio unazuia mwenzako asile, migahawa yote imefungwa, ila ya chama chao ipo wazi,


Soma kitabu cha Padri Sivallon kinachoitwa Kanisa katoliki na siasa za Tanzania bara , utaelewa nini lengo la kanisa. Humo Padri anaeleza kuwa Tanganyika tumeshaiweza bado Zanzibar . Hilo ndilo lengo la kanisa unaanza na vishawishi
 
Nasema ni Waislam kwa kuwa Hilo tatizo halipo Pemba tu, lipo Zanzibar yote, na sio Zanzibar tu, lipo karibia nchi zote zenye Muslim majority mfano, Iran nao wana utaratibu kama huu, Saudia, Bahrain n.k


Unajua wakristo walioko Zanzibar hatujawahi kuwasikia kulalamika. Tatizo ni baada ya huu uvamizi uliopewa jina la muungano.

Mimi nilisoma na wakristo boarding school na ramadhani walikuwa wakipikiwa mchana chakula chao , ijapokuwa uroho ulikuwa ukiwashika jioni wanakuja kula futari na sisi na wala hawakufukuzwa au kupigwa bakora na wakituhishimu sana tu na tukiwaheshimu hivyo hivyo
 
Mtu hawezi kupewa sofa mbaya km hana
Sioni sababu ya waislamu kuwa na chuki kwa wasio waislamu tatizo wakristo wengi hawataki kujua hata kidogo kuhusu uislamu ila kutwa kusema waislamu wanafuga majini wachawi Qur'an kitabu cha mashetani wafiraji magadi n.k hayo hayana maana yeyote zaidi ya kuwaudhi waislamu ila bado et waislamu ndio wanafundishana chuki!!!

Unakuta mtu hadi leo hajui kama Qur'an imetafsiriwa kwa lugha mbalimbali hadi kwa kiswahili,lakini huyo hiyo unakuta naye anasema sijui Qur'an inafundisha ugaidi mara sijui hivi mara vile. Hivi kama sio chuki ni nini?
 
Huwezi kuwasikia kwwsababu hujataka kuwasikia ila malalalamiko yapo
Unajua wakristo walioko Zanzibar hatujawahi kuwasikia kulalamika. Tatizo ni baada ya huu uvamizi uliopewa jina la muungano.

Mimi nilisoma na wakristo boarding school na ramadhani walikuwa wakipikiwa mchana chakula chao , ijapokuwa uroho ulikuwa ukiwashika jioni wanakuja kula futari na sisi na wala hawakufukuzwa au kupigwa bakora na wakituhishimu sana tu na tukiwaheshimu hivyo hivyo
 
ha haaa haaa uchu wao na uroho ndo unawasumbua imani si kumvizia mtua atende umwadhibu, pia si lazima mtu afanye ka vile wapendavyo hii ni nchi ya uhuri isiyo na dini wala ukabila labda watu wake
Hao watu unaosema ndio hao hao...wanaofanya hivyo...
 
chakula chako uke umejificha hah aaa haaa sheria za kidini haziongozi serikali ya mapinduzi bana wabadilike wabaki katika imani na waache haya ya kidunia maana kumpiga mtu hakukuongezei hata thawabu, kwani kunamahali pamesema utapata thawabu? hizidini zililetwa na wageni enzi hizo tulikuwa na mito, miti, milima, mapango , misitu tulikuwa twaabudu hivyo na maisha yalienda kama kawaida so tuongozwe na akili pia, tuwafundishe pia mie wale nawachukulia ka vibaka na wahuni tuu
Ukweli mchungu ngio huu..sheria na kanuni za znz ..zinaegemea sana kwenye dini!
Labda kwa wageni ndio hamjui hilo ..
ndio hivyo...toka enzi na enzi...
Wajuzi wanatambua hilo na wala hawana tabu nalo!
Kulazimisha znz iwe kama bara kisa muungano ndio maana wengi hawautaki.... mengi yanachangia!
Tatizo wanatawaliwa...hawana la kufanya...lkn kama ni kuchagua...
Ingekuwa tunaongea mengine mda huu@
 
Mbona hueleweki. Kwaresima haiwezi Kuwait ramadhani


Hueleweki vipi ? naona hueleweki wewe , mimi nimeuliza maswali , unakimbia kujibu

Kwaresma iko kwenye kitabu gani cha biblia ?? hivi nayo ni Ramadhani ??

sijasema chochote
 
View attachment 1094622

Vijana hapo juu wamecharazwa bakora na vijana wa kiuslam baada ya kukutwa sehemu wanakula kilaji na nyama choma lkn haikuwa hadharani walikaa eneo la ndani (uani)

Huo ubabe mnaofanya mtajutia nyie vijana
Funga ni kujuzuia wewe kula na sio kumzuia jirani yako kula

Kama umeshindwa kuvumilia wengine wewe hufai kufunga

Sasa tukiwatuma vijana wa kiha miamoja waje huko ili waje wawape kichapo na nyie ili muache uonevu
Umeanza vizuri ila umepuyanga mwishoni.
 
Hawa hawana tofauti na RC wa Iringa anayehukumu na kuweka ndani kulingana na utashi wake. Je, hii nayo ni dini? Wote ni wapumbafu sababu dini hailazimishwi. Hizi dini zilikuja kwenye mitumbwi siyo zetu. Turudi kwenye dini zetu tuone watafanyaje. Kama wanataka dini zao warudi huko kwenye dini hizo.
 
Hawa hawana tofauti na RC wa Iringa anayehukumu na kuweka ndani kulingana na utashi wake. Je, hii nayo ni dini? Wote ni wapumbafu sababu dini hailazimishwi. Hizi dini zilikuja kwenye mitumbwi siyo zetu. Turudi kwenye dini zetu tuone watafanyaje. Kama wanataka dini zao warudi huko kwenye dini hizo.

Hivi Dini yako ni ya mungu wako Marehemu wanyonyi ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom