ibesa mau
JF-Expert Member
- Sep 17, 2015
- 2,109
- 1,692
Bwana mkubwa ametusahau sana , sisi watu wa kusini hupati shida kutambua majina yetu. Ukisikia majina kama tembo, komba, mapunda, ngonyani, simba, nyoka , mwakinyonga, mwakimpusa, sanga, lupembe, msigwa, n.k
Nimepitia teuzi nyingi hayo majina hayapo kabisa sijui kwa nini . Mkuu sisi ni watu pia ijapokuwa majina yetu ni ya wanyama.
Tunaomba radhi kama tulikukosea , kwani na wewe ni binadamu wakati mwingine unakwazika, najua wakati mwingine tumeponzwa na watu wa mbeya kwani wakati wa kampeni walizomea kampeni zetu, naomba uwasamehe kwani adhabu uliyotupa inatosha, na tumejifunza sasa .
Kidumu chama changu cha CCM. kidumu milele , kidumu kisitoke madarakani
Nimepitia teuzi nyingi hayo majina hayapo kabisa sijui kwa nini . Mkuu sisi ni watu pia ijapokuwa majina yetu ni ya wanyama.
Tunaomba radhi kama tulikukosea , kwani na wewe ni binadamu wakati mwingine unakwazika, najua wakati mwingine tumeponzwa na watu wa mbeya kwani wakati wa kampeni walizomea kampeni zetu, naomba uwasamehe kwani adhabu uliyotupa inatosha, na tumejifunza sasa .
Kidumu chama changu cha CCM. kidumu milele , kidumu kisitoke madarakani