complex31
JF-Expert Member
- Jun 15, 2016
- 379
- 1,208
Kuna mataifa makubwa mawili
Iran (Muslim)
Italy (Roman’s) Corona inawatesa kupita kiasi. Dini ni imani ya mtu, kuna watu wamezoea kila jambo kusema tunamuachia Mungu au Mungu ndio anaejua, hizi kauli zikitumika tutaangamia wote. Nchi kama China na mataifa mengine wanajua kusali peke yake ni upuuzi hakutaondoa hili janga na kuchukua counter measures mapema ikiwemo watu kukaa majumbami kwao na nchi nyingine pia wamechukua hatua kama hizo.
Imedhihirisha maombi hayawezi kusaidia kuondoka kwa ugonjwa huu bali ni juhudi na nguvu za kuungana pamoja na kutafta kila mbinu kuweza kuuzuia usiingie sehem ambazo bado haujafika pia kuwatenga wale ambao wameathirika,
kwa upande wangu dini ziliweka ili ziweze kumpa mtu hofu au uwoga wa kufanya jambo fulani bata katika jamani pia ni kama njia ya kukupa imani na nguvu (hope) katika maisha yako lakini dini sio tiba ya magonjwa, migogoro, njaa wala vita.
Corona imedhibitisha ulimwengu kua wanasayansi wanahitajika zaidi kuliko maombi.
Iran (Muslim)
Italy (Roman’s) Corona inawatesa kupita kiasi. Dini ni imani ya mtu, kuna watu wamezoea kila jambo kusema tunamuachia Mungu au Mungu ndio anaejua, hizi kauli zikitumika tutaangamia wote. Nchi kama China na mataifa mengine wanajua kusali peke yake ni upuuzi hakutaondoa hili janga na kuchukua counter measures mapema ikiwemo watu kukaa majumbami kwao na nchi nyingine pia wamechukua hatua kama hizo.
Imedhihirisha maombi hayawezi kusaidia kuondoka kwa ugonjwa huu bali ni juhudi na nguvu za kuungana pamoja na kutafta kila mbinu kuweza kuuzuia usiingie sehem ambazo bado haujafika pia kuwatenga wale ambao wameathirika,
kwa upande wangu dini ziliweka ili ziweze kumpa mtu hofu au uwoga wa kufanya jambo fulani bata katika jamani pia ni kama njia ya kukupa imani na nguvu (hope) katika maisha yako lakini dini sio tiba ya magonjwa, migogoro, njaa wala vita.
Corona imedhibitisha ulimwengu kua wanasayansi wanahitajika zaidi kuliko maombi.