Watu wa dini chukueni credit kwa Corona!

Sasa wewe inakuuma nini? Kufeli kwako masomo ya unabii Sasa imegeuka nongwa? Ungefaulu hayo masomo ungekuwa na hiyo nguvu ya kusambaratisha Corona viruses?

Punguza nongwa mtoto wa kiume hawi na roho mbaya. Harafu masheikh hawana hayo mahubiri ya kilokole.
 
Sasa wewe inakuuma nini? Kufeli kwako masomo ya unabii Sasa imegeuka nongwa? Ungefaulu hayo masomo ungekuwa na hiyo nguvu ya kusambaratisha Corona viruses? Punguza nongwa mtoto wa kiume hawi na roho mbaya. Harafu masheikh hawana hayo mahubiri ya kilokole.
Njoo huku hospitali tuna trainings za kukabiliana na Corona!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo dini inapofeli, wkt Makka watu wamepigwa pini hakuna kwenda kuhiji while ndo Allah anapitaradadi

Sent using Jamii Forums mobile app
Aliepewa dhamana ya kuwafundisha watu dini moja ya mafundisho yake ni hiyo hatua iliochukuliwa Makka, uislam ni mfumo wa maisha kabisa, ili dini iitwe dini lazima iendane na maisha ya watu.

Na Allah ndie aliewaambia waumini wachukue tahadhari. Usiandike vitu kwa hisia na just kutaka umaarufu tu, utaonekana kituko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kuwa daktari au muuguzi inakuzuia nini kushika dini? Umeoa/kuolewa? Umefuata utaratibu gani katika ndoa yako? Au mlijifungia tu wodini mkachukua sindano za kwinini ndo Basi mkawa Bibi na bwana.

Mimi nimefuata utaratibu wa serikali.
 
Sasa kuwa daktari au muuguzi inakuzuia nini kushika dini? Umeoa/kuolewa? Umefuata utaratibu gani katika ndoa yako? Au mlijifungia tu wodini mkachukua sindano za kwinini ndo Basi mkawa Bibi na bwana.
Nani kakuambia mie ni Daktari au muuguzi?

Sijaoa na nikioa nitaenda boman as formality.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: rbt
Aliepewa dhamana ya kuwafundisha watu dini moja ya mafundisho yake ni hio hatua iliochukuliwa Makka, uislam ni mfumo wa maisha kabisa,ili dini iitwe dini lazma iendane na maisha ya watu.
Na Allah ndie aliewaambia waumini wachukue tahadhari.
Usiandike vitu kwa hisia na just kutaka umaarufu tu, utaonekana kituko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha haaaa. Kuna jamaa yako anasema waislam hawataugua Corona.

Sasa Allah anaahirishaje shughuri yake ya Hija kwa kuogopa Corona? Au hakuiumba Corona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndo dini inapofeli, wkt Makka watu wamepigwa pini hakuna kwenda kuhiji while ndo Allah anapitaradadi

Sent using Jamii Forums mobile app
Dini haijafeli, bado dunia haijafikia hapo mkuu. Madaktari wanaopambana na wagonjwa wa corona watakuwa wanasali isiwapate. Mama, baba na ndugu zao wanasali wawe salama.

Trust me, ukipata tatizo la kiafya utaombewa sana tu. Inawezekana hata utakapokufa watu wakakuombea huko uendako. Dini ipo, na ipo active sana.
 
Dini haijafeli, bado dunia haijafikia hapo mkuu. Madaktari wanaopambana na wagonjwa wa corona watakuwa wanasali isiwapate. Mama, baba na ndugu zao wanasali wawe salama. Trust me, ukipata tatizo la kiafya utaombewa sana tu. Inawezekana hata utakapokufa watu wakakuombea huko uendako. Dini ipo, na ipo active sana.
Wanaomba ila wanakufa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo ni maoni yake na sio ya dini, anawezekana akawa anaongelea asichokijua kama hivo wewe hivo maneno yake sio facts kama yalivyo ya kwako.Halafu kilichohairishwa sio hijja ni Umra, miezi ya Hijja bado haijafika ila kama maradhi yataendelea tutasubiri taarifa kwa wahusika.
Halafu corona sio janga la kwanza kuikumba dunia. Please read, unaakili zitumie.
Ha ha haaaa. Kuna jamaa yako anasema waislam hawataugua Corona.

Sasa Allah anaahirishaje shughuri yake ya Hija kwa kuogopa Corona? Au hakuiumba Corona?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom