Mtapenda
JF-Expert Member
- Sep 20, 2011
- 1,115
- 2,053
Huko Iran, Iraq, Oman hakuna waislam wanao umwa kweli!?Kwahiyo unataka kusema mashekhe hawatoweza kuumwa Corona ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko Iran, Iraq, Oman hakuna waislam wanao umwa kweli!?Kwahiyo unataka kusema mashekhe hawatoweza kuumwa Corona ?
Serikali haikumind Ila yy hakujiamini na hiyo dawa yakeLkn si kuna mchungaji hapa bongo alisema ana dawa corona serikali ikammaindi.?
Sent using Jamii Forums mobile app
HAhahaha Safi SanaKwani anajaribiwa Mungu au Corona!
Ok , Sasa ww umejuaje Kama hao wairan sio waislamu ? , Let's be serious broSaudia kuna wagonjwa wangapi?
Qatar kuna wagonjwa wangapi?
sio kila muiran ni muislam
Sent using Jamii Forums mobile app
KaponaNamuonea huruma Pope Francis huko Italy.
Naogopa nikipinga kwa hoja dhidi yako.. nitawekwa katika kundi la watu ambao ni Non educated...
Kwa hyo ni bora ninyamaze, siwezi bishana kwa hoja kwa mtu ambae huwezo wake wa kufikiria ni finyu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok , Sasa ww umejuaje Kama hao wairan sio waislamu ? , Let's be serious bro
Dawa ya corona iko wapi mzeeJumong S, Mungu hawezi kuthibitishwa na uwepo au kutokuwepo kwa ugonjwa wa Corona.
Ata kifo chenyewe hakitoshi kuthibitisha kutokuwepo kwa Mungu.
Maana maandiko yanasema wazi kuna watu vifo havikuwa kitu kwao mfano HENOKO mwanzo 5:1... hakuonja hayo mauti, pia Elia ila mwisho wa yote MWAMBA JESUS KRISTO, yeye kashuka kuzimu na kurudi kishujaa kabisa.
Mwisho tangia leo, ujue kabisa Mungu anayehubiriwa si Mungu miili na mambo yanayoambatana na hofu za kimwili maana kwa walio wake wanahofu ya kufa kiroho na si kimwili.
Utambue pia watu zaidi ya 170k ila vifo ata elfu 10000 bado kwanini usijiulize kila anayepata alitakiwa kufa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona uulizi uwepo(sababu ya uwepo wa Corona) what if Mungu kaleta Corona kwa makusudi yake unaulizia dawa kwake ili iweje..?
Mwamposa akamatwe afungwe kwenye gunia akatupwe kule Isolation center ya UK yenye wagonjwa wa COVID19 atawapake mafuta ya upakoPengine Mwamposa apewe nafasi!
Ha ha haaaa. Hapo kanisa zima watapigia breki Kibada Kigamboni!!! Mbio za Hussein Bolt hazitafua dafu!Fanya hivi,jifanye una korona,nenda kea ngwajima au yule jamaa mwenye mafuta ya kukanyagiamo,mwamposa,mwambie umetoka Wuhan na unasikia kifua kinauma,msogelee na ukohoe kwa nguvu,uone Kama hajatoka baruti