Hamissi Hamza Jr
JF-Expert Member
- Apr 16, 2020
- 548
- 1,085
Mimi Ni Gen z najipambania Sana lakini hio kwangu haihalalishi kubeza,kutweza,au kuwakashifu wenye age kubwa kuliko yangu ambao bado hawajatoboakama kijana wa miaka hio hajatoboa asahau kutoboa kwenye haya maisha.
wa 99-2005 tunakimbiza balaa mabraza imekula kwenu
tunaenda na mudawetu tusijekufeli kama nyie wajinga
Mimi na Hustle Huku nimefunga mdomo sichambui Maisha ya watu
Maana maisha yana mambo mengi bro siamini watu wote Ambao hawajatoboa Ni wajinga
