Watu mliozaliwa 1985-1995, how is life?

Watu mliozaliwa 1985-1995, how is life?

Ila mwanaume wa tz ana muda mfupi sana wa kuinjoi ujana wake aisee, ni almost hamna kabisa!

Fikiria mpaka unafika miaka 30 mtu hata ramani tu hazisomi,

Ukijipata unakuta uko na 35 kwenda 40 hapo unaanza kupambana kuweka mambo sawa kama familia na makazi na vitegauchumi.

Mpaka unamaliza kuweka mambo sawa ili uanze kuinjoi maisha, tayari miaka 55 hii hapa na uzee unakuwa umrshawadia unaanza kupambana na changamoto za uzeeni basi safari inaishia hapo
 
Mimi wa 1976 Nina watoto wakubwa mmoja nipo nae hapa Jf ni Poor Brain sema sasa yupo anapiga ue,

Ila Nina mtoto anafanana na secretarybird wamesoma wote huko kaskazini mwa Tz,

Mimi ni senior bachelor
Mkuu wewe bila kusema mimi mwanao nahisi unaumwa kabisa...

Mkuu mama angu akutangui ww weww baba gani ujitafakari unaona kabisa mi sitaki baba. WEWE last warning ⚠️ ⚠️ ⚠️ ⚠️ ⚠️ ⚠️ ⚠️
 
Screenshot_20250608-104007_Facebook.jpg
 
Sio mbaya sana familia zinaenda chooni na watoto wanaenda shule,ups & downs zipo kama kawaida.

Kikubwa zaidi ni afya njema,mengine yatajijua yenyewe..

Dunia tunapita tu,usiwe serious sana ukashindwa kuenjoy huu uhai usiojua utaisha muda gani.Cheers!
 
Back
Top Bottom