Emiliano salaMchezaji wa Argentina aliepata ajali ya ndege akitokea ufaransa kuja uingereza kujiunga na tim flani
Kobe bryant alipata ajali akiwa na 41
Emiliano sala
Stevens kanumba, Muigizaji aliuwawa na mwanamke chumbani
Yule hawara ya mamako, naskia babako wa kufikia ndie alifanya yote yale.chacha wangwe waulize cdm
Loliondo gate na TBL gate nadhani kama sio gazeti la mfanyakazi basi lilikuwa gazeti la moto moto au heko sikumbuki uzuriStanslaus Katabalo, alikufa akitetea ardhi ya Wamasai Loliondo isigawiwe. Sina uhakika na age lakini itakuwa early or late 30s.
Ferdinand Magellan (41)- Huyu alikuwa mtu wa kwanza kusafri na kuizunguka dunia kwa mashua akathindisha kuwa dunia ni mduara. Navigation Satellites za Ulaya zimepewa jina lake
Hivi njombe pale sio duniani...??hiyo mashua ilipita tale au sangamela
Alikuwa anatoka Dodi Al Fayed billionaire wa Kiarabu aliyekuwa akiishi France yeye na familia yake ni wamiliki wa chain of Supermarkets na biashara nyingine Ulaya ,inasemekana "Eti" Princess tayari alikuwa na ujauzito wa huyo Billionaire na walikuwa ktk harakati za kufunga ndoa kitu kilichotafsiriwa km kashfa kubwa kwa Royal family.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana Kuna ukweli, maana inasemekana Diana alikuwa na mimba baada ya taarifa kuufikia ukoo wa kifalme hawakutaka mfalme wa uingereza awe na ndugu waarabu toka misri maana wangekuwa mama mmoja baba mbalimbali.Hii niliisikia sana mwaka huo wa 1997 na 1998 kuwa baba yake Dodi ndiye aliewekeza sana kuhakikisha kijana wake anazaa na Diana. Kwa hiyo aligharimia raha nyingi sana kwa Diana kuliko alizokuwa akipata kwenye ufalme, na kuna wakati ambapo kijana huyo alitumwa kuwa anajimiana na Diana kwa karibu mwezi mzima bila kupumzika wakati wakiwa vacation huko Ugiriki kusudi mimba ipatikane. Sijui kama habari hizo ni kweli kwani ushshidi ulizimika nao; ila sasa hii conspiracy ya kumwua diana kutokana na hilo kweli huwa siliamini kwani ilikuwa ni accident iliyotokana na wao kwenda mwendo wa kasi kujaribu kuepuka mapaparazi
Alikufa na miaka mingapAmina chifupa mwanasiasa/ mtangazaji aliugua akafa
Alikua anatangaza Clouds Fm,walipata ajali ya gari akienda kumtambulisha Complex ArushaKwenye hii list umemsahau aliyekuwa mpnz wa Complex marehemu Vivian Tilya a.k.a vi to the vy ,hakika huyu dada nilikuwa namkubali sana kwenye kazi yake utangazaji