Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

1.Aaliyah, miaka 22. Alikuwa ni mwimbaji wa muziki, alifariki kwa ajali ya ndege.


2.Malcom X, miaka 39. Alikuwa ni mwanaharakati wa haki za biinadamu. Aliuwawa.


3.Martin Luther King, miaka 39. Alikuwa pia mwanaharakati. Aliuwawa na watu wasiojulikana


4.Whitney Houston, miaka 49. Mwanamuziki. Alifariki kwa madawa.


5.2pac, miaka 25. ALikuwa mwanamuziki, Aliuwawa kwa kupigwa risasi.


6.Bob Marley, miaka 36. Mwanamuziki maarufu wa Reggae. Alifariki kwa Kansa.


7.Bruce Lee, miaka 32. Actor wa filamu za mapigano, sababu za kifo zake bdo ni utata mpaka leo.

8.John F. Kennedy, miaka 46. Rais wa Marekani. Aliuwawa kwa risasi.


9.Princess Diana, miaka 36. Alikuwa ni mke wa mtoto wa Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa ajali ya gari, wengi wanashuku ajali hiyo ilipangwa.


10.Ernest Che Guevara, miaka 39. Mwanamapinduzi wa Argentina. Aliuwawa na CIA.
Lucky Dube je

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Du! Aisha Madinda alishafariki? Nilidhani kapotea kwenye anga kwa sababu ya Twanga Pepeta kufifia tu.

Wengine ni hawa
(a) Edward Moringe Sokoine (46),
(b) Hussein Ramadhan Shekilango (43)
(c) Mtemi Mkwawa Munyigumba wa Uhehe (43)
(d) Mtemi Mirambo Mtyela Kasanda wa Unyanyembe (44)
(e) Eduardo Mondlane wa Frelimo (49)
(f) Steve Biko wa ANC (31)
(g) Niels Henrik Abel (27)- Mwana hisababati aliyevumbua formula ya kukokota jibu la quintic equation; Abelian groups kwenye Abstratct Algebra zimepewa jina lake
(h)Adolf Hitler (45) - Anajulikana duniani kote kwa sababu ya WW2
(i) Capt Thomas Sankara (37)- Shujaa wa Afrika
(j) Babu yangu (alifariki akiwa anapigana vita ya kwanza dunia dunia akiwa na miaka 22)
(k) Lt Col Nathan Netanyahu (30)- Komandoo aliyeongoza kikosi cha kukomboa ndege ya Air France iliyokuwa imetekwa Uganda
(l) Yesu Kristo wa Nazaret (32)- Mwanzilishi wa ukristo
(m) Alexander the Great (33) - Mtawala wa Ugiriki
(n) Abdullah Kassim Hanga (37) - Huyu alinyongwa kikatili na Karume kwa kuogopa usomi wake
(o) Heinrich Rudolf Hertz (37)- Huyu ndiye aliyegundua electromagnetic waves zinazotupa cellphone, TV na internet leo.
(p) Wilbur Wright (45) - Mmoja wa ndugu wawili waliogundua na kuunda ndege ya kwanza
(q) Patrice Hemery Lumumba (36)- ndiye aliyeongoza mapamabo ya kugomea uhuru wa Kongo (DRC)
(r) Elvis Aaron Presley (42) - mwanamuziki machachari wa Rock'n Roll kutokea kipande ya Tennessee
(s) Thomas Joseph Odhiambo Mboya (Tom Mboya)-(39) Alikuwa mwanasiasa makini sana Kenya akauawa kinyamana na jamaa anaitwa Njoroge kwa amri ya Kenyatta
(t) Dr. Wilbert Kreluu (35)- Aliuwawa Kinyama na mkulima mmoja wa Kihehe akiwa Mkuu wa mkoa
(u) Prof Hermann Minkowski (44)- Huyu ndiye aliyekuwa professor wa Albert Einstein, na alimfelisha mara mbili. Anajulikana sana kwa Minkwoski inequality- kwenye Topology na Functional Analysis
(v) Ferdinand Magellan (41)- Huyu alikuwa mtu wa kwanza kusafri na kuizunguka dunia kwa mashua akathindisha kuwa dunia ni mduara. Navigation Satellites za Ulaya zimepewa jina lake
(w) Nikolai II Alexandrovich Romanov (~50) Mfalme wa mwisho wa urusi; alinyongwa akiwa anagusa miaka 50 tu kabla hata hajajua utamu wake
(x) Kabaka Mwanga II Mukasa (Chief of Buganda) - (34); Huyu alikuwa na record ya kuwa na wake 16 lakini alizaa watoto 10 tu.
(y) George Mukabi (33)- Huyu alikuwa mwanamuziki maarufu sana Afrika ya Mashariki kwa mziki wa magalatoni
(z) Diana, Princess of Wales (36)
Duuuu!!! Mkuuu upo vizuri salute kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
LEXII ALIJAI (19/02/1988-01/01/2020)


1586223896900.png
 
Du! Aisha Madinda alishafariki? Nilidhani kapotea kwenye anga kwa sababu ya Twanga Pepeta kufifia tu.

Wengine ni hawa
(a) Edward Moringe Sokoine (46),
(b) Hussein Ramadhan Shekilango (43)
(c) Mtemi Mkwawa Munyigumba wa Uhehe (43)
(d) Mtemi Mirambo Mtyela Kasanda wa Unyanyembe (44)
(e) Eduardo Mondlane wa Frelimo (49)
(f) Steve Biko wa ANC (31)
(g) Niels Henrik Abel (27)- Mwana hisababati aliyevumbua formula ya kukokota jibu la quintic equation; Abelian groups kwenye Abstratct Algebra zimepewa jina lake
(h)Adolf Hitler (45) - Anajulikana duniani kote kwa sababu ya WW2
(i) Capt Thomas Sankara (37)- Shujaa wa Afrika
(j) Babu yangu (alifariki akiwa anapigana vita ya kwanza dunia dunia akiwa na miaka 22)
(k) Lt Col Nathan Netanyahu (30)- Komandoo aliyeongoza kikosi cha kukomboa ndege ya Air France iliyokuwa imetekwa Uganda
(l) Yesu Kristo wa Nazaret (32)- Mwanzilishi wa ukristo
(m) Alexander the Great (33) - Mtawala wa Ugiriki
(n) Abdullah Kassim Hanga (37) - Huyu alinyongwa kikatili na Karume kwa kuogopa usomi wake
(o) Heinrich Rudolf Hertz (37)- Huyu ndiye aliyegundua electromagnetic waves zinazotupa cellphone, TV na internet leo.
(p) Wilbur Wright (45) - Mmoja wa ndugu wawili waliogundua na kuunda ndege ya kwanza
(q) Patrice Hemery Lumumba (36)- ndiye aliyeongoza mapamabo ya kugomea uhuru wa Kongo (DRC)
(r) Elvis Aaron Presley (42) - mwanamuziki machachari wa Rock'n Roll kutokea kipande ya Tennessee
(s) Thomas Joseph Odhiambo Mboya (Tom Mboya)-(39) Alikuwa mwanasiasa makini sana Kenya akauawa kinyamana na jamaa anaitwa Njoroge kwa amri ya Kenyatta
(t) Dr. Wilbert Kreluu (35)- Aliuwawa Kinyama na mkulima mmoja wa Kihehe akiwa Mkuu wa mkoa
(u) Prof Hermann Minkowski (44)- Huyu ndiye aliyekuwa professor wa Albert Einstein, na alimfelisha mara mbili. Anajulikana sana kwa Minkwoski inequality- kwenye Topology na Functional Analysis
(v) Ferdinand Magellan (41)- Huyu alikuwa mtu wa kwanza kusafri na kuizunguka dunia kwa mashua akathindisha kuwa dunia ni mduara. Navigation Satellites za Ulaya zimepewa jina lake
(w) Nikolai II Alexandrovich Romanov (~50) Mfalme wa mwisho wa urusi; alinyongwa akiwa anagusa miaka 50 tu kabla hata hajajua utamu wake
(x) Kabaka Mwanga II Mukasa (Chief of Buganda) - (34); Huyu alikuwa na record ya kuwa na wake 16 lakini alizaa watoto 10 tu.
(y) George Mukabi (33)- Huyu alikuwa mwanamuziki maarufu sana Afrika ya Mashariki kwa mziki wa magalatoni
(z) Diana, Princess of Wales (36)
Ferdinand Magellan (41)- Huyu alikuwa mtu wa kwanza kusafri na kuizunguka dunia kwa mashua akathindisha kuwa dunia ni mduara. Navigation Satellites za Ulaya zimepewa jina lake
Hivi njombe pale sio duniani...??hiyo mashua ilipita tale au sangamela
 
9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa.9.Princess Diana, miaka 36.
Alikuwa ni mke wa mtoto wa
Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa
ajali ya gari, wengi wanashuku
ajali hiyo ilipangwa........
........ Huyu princess Diana alikufa kwa ajali ya gari wakat akiwakimbia mapaparazi nchini ufaransa aligonga nguzo ya umeme. Hyo ni baada ya kuachana na mtoto wa malkia na kujiingiza kwenye mahusiano na jamaa flan hvi japo sikumjua vizr aliyekuwa anamchukua kwa kipind hicho
Alikuwa anatoka Dodi Al Fayed billionaire wa Kiarabu aliyekuwa akiishi France yeye na familia yake ni wamiliki wa chain of Supermarkets na biashara nyingine Ulaya ,inasemekana "Eti" Princess tayari alikuwa na ujauzito wa huyo Billionaire na walikuwa ktk harakati za kufunga ndoa kitu kilichotafsiriwa km kashfa kubwa kwa Royal family.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alikuwa anatoka Dodi Al Fayed billionaire wa Kiarabu aliyekuwa akiishi France yeye na familia yake ni wamiliki wa chain of Supermarkets na biashara nyingine Ulaya ,inasemekana "Eti" Princess tayari alikuwa na ujauzito wa huyo Billionaire na walikuwa ktk harakati za kufunga ndoa kitu kilichotafsiriwa km kashfa kubwa kwa Royal family.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumbe na wewe ni muhenga
 
Marin Hassan Marin- 47 alikuwa mtangazaji TBC

Edward Moringe Sokoine- 46 alikuwa waziri mkuu wa Tanzania

Deo Filikunjombe

Kobe Bryant

Nk
 
Back
Top Bottom