Watu maarufu duniani waliofariki kabla ya kufikisha miaka 50

2_ARP_MDG_280921Andrea-Martin_43089JPG.jpg
 
1.Aaliyah, miaka 22. Alikuwa ni mwimbaji wa muziki, alifariki kwa ajali ya ndege.


2.Malcom X, miaka 39. Alikuwa ni mwanaharakati wa haki za biinadamu. Aliuwawa.


3.Martin Luther King, miaka 39. Alikuwa pia mwanaharakati. Aliuwawa na watu wasiojulikana


4.Whitney Houston, miaka 49. Mwanamuziki. Alifariki kwa madawa.


5.2pac, miaka 25. ALikuwa mwanamuziki, Aliuwawa kwa kupigwa risasi.


6.Bob Marley, miaka 36. Mwanamuziki maarufu wa Reggae. Alifariki kwa Kansa.


7.Bruce Lee, miaka 32. Actor wa filamu za mapigano, sababu za kifo zake bdo ni utata mpaka leo.

8.John F. Kennedy, miaka 46. Rais wa Marekani. Aliuwawa kwa risasi.


9.Princess Diana, miaka 36. Alikuwa ni mke wa mtoto wa Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa ajali ya gari, wengi wanashuku ajali hiyo ilipangwa.


10.Ernest Che Guevara, miaka 39. Mwanamapinduzi wa Argentina. Aliuwawa na CIA.
Thomas Sankara (37)rais wa zamani wa Burkinabe
Marien Nguabi (38) rais wa zamani wa Congo Republic
Patrice Lumumba (35) Waziri mkuu wa kwanza wa DRC
Steve Biko (30) mpigania uhuru wa Afrika Kusini
Dedan Kimathi (36) mpigania uhuru Kenya
Alexander the Great (32)
Marvin Gaye (44)
Lucky Dube (43)
Pepe Kalle (46)
Fred Akuffo (42 ) rais wa zamani Ghana
Ignatus Kutu Echimpong (47 )––do–––
Tom Mboya (38) waziri Kenya
Josiah Mwangi Kariuki (46) waziri Kenya
wapo wengi akiwamo baba yangu
 
Thomas Sankara (37)rais wa zamani wa Burkinabe
Marien Nguabi (38) rais wa zamani wa Congo Republic
Patrice Lumumba (35) Waziri mkuu wa kwanza wa DRC
Steve Biko (30) mpigania uhuru wa Afrika Kusini
Dedan Kimathi (36) mpigania uhuru Kenya
Alexander the Great (32)
Marvin Gaye (44)
Lucky Dube (43)
Pepe Kalle (46)
Fred Akuffo (42 ) rais wa zamani Ghana
Ignatus Kutu Echimpong (47 )––do–––
Tom Mboya (38) waziri Kenya
Josiah Mwangi Kariuki (46) waziri Kenya
wapo wengi akiwamo baba yangu
Kumbe pepe kale kafa bado sana
 
Hyo ni baada ya kuachana na mtoto wa malkia na kujiingiza kwenye mahusiano na jamaa flan hvi japo sikumjua vizr aliyekuwa anamchukua kwa kipind hicho
Rijamaa lilikuwa ri- Arabu! toto la Milllionair wa kiarabu, Maarufu kwa jina km Dod Fayed!! Miarabu kwa papuchi hee! ilivolinogea tu likaamua liwalo naliwe lilikufa na mchuchu kifuani kiroho swafiii!

Kademu kenyewe sasa, kalikuwa kamesha zaa vitoto viwili tu vidogo!! kwa hiyo Mashine ilikuwa bado swafiiii na salama!!...Malkia kaona. ALAAH! sasa hii dharau sasa!!

Yani kwa Mamlaka haya niliyo nayo!! ukoo wangu wende kuchanganywa kwa hao nyani weupe wasio kuwa na utaifa subiri!....ndo yakatokea yaleee!...wachache sana tunalijua hili...

ila katoto kadogo kale ka Dayana kaliumia sana kali amua kuwa kamwe hakataki cheo kilicho jaa damu ya mamake hakata kaa na wauaji, leo kako kivayke huko Canada kameoa Mswahili km mzaramo yule sijui...... PYUUU!!
 
1.Aaliyah, miaka 22. Alikuwa ni mwimbaji wa muziki, alifariki kwa ajali ya ndege.


2.Malcom X, miaka 39. Alikuwa ni mwanaharakati wa haki za biinadamu. Aliuwawa.


3.Martin Luther King, miaka 39. Alikuwa pia mwanaharakati. Aliuwawa na watu wasiojulikana


4.Whitney Houston, miaka 49. Mwanamuziki. Alifariki kwa madawa.


5.2pac, miaka 25. ALikuwa mwanamuziki, Aliuwawa kwa kupigwa risasi.


6.Bob Marley, miaka 36. Mwanamuziki maarufu wa Reggae. Alifariki kwa Kansa.


7.Bruce Lee, miaka 32. Actor wa filamu za mapigano, sababu za kifo zake bdo ni utata mpaka leo.

8.John F. Kennedy, miaka 46. Rais wa Marekani. Aliuwawa kwa risasi.


9.Princess Diana, miaka 36. Alikuwa ni mke wa mtoto wa Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa ajali ya gari, wengi wanashuku ajali hiyo ilipangwa.


10.Ernest Che Guevara, miaka 39. Mwanamapinduzi wa Argentina. Aliuwawa na CIA.
Kanumba
 
1.Aaliyah, miaka 22. Alikuwa ni mwimbaji wa muziki, alifariki kwa ajali ya ndege.


2.Malcom X, miaka 39. Alikuwa ni mwanaharakati wa haki za biinadamu. Aliuwawa.


3.Martin Luther King, miaka 39. Alikuwa pia mwanaharakati. Aliuwawa na watu wasiojulikana


4.Whitney Houston, miaka 49. Mwanamuziki. Alifariki kwa madawa.


5.2pac, miaka 25. ALikuwa mwanamuziki, Aliuwawa kwa kupigwa risasi.


6.Bob Marley, miaka 36. Mwanamuziki maarufu wa Reggae. Alifariki kwa Kansa.


7.Bruce Lee, miaka 32. Actor wa filamu za mapigano, sababu za kifo zake bdo ni utata mpaka leo.

8.John F. Kennedy, miaka 46. Rais wa Marekani. Aliuwawa kwa risasi.


9.Princess Diana, miaka 36. Alikuwa ni mke wa mtoto wa Malkia wa Uingereza. Alifariki kwa ajali ya gari, wengi wanashuku ajali hiyo ilipangwa.


10.Ernest Che Guevara, miaka 39. Mwanamapinduzi wa Argentina. Aliuwawa na CIA.
Thomas Sankara alikua na Umri gani?
 
Back
Top Bottom