Inawezekana ndiyo walishughulika naye, kikulacho kinguoni mwakoWanasiasa uchwara jaribuni kufumba vinywa vyenu ili kuficha aibu kama hizi zisiwatafune ninyi na vizazi vyenu. Yaani mlikuwa mnapigia debe uvunjifu wa katiba?
Msukuma upo?
Kinanasi upo?
View attachment 1839350
hakuna mwenye akili timamu kummiss huyo dikteta,Umeanza kummiss JPM, siyo!? Na bado!