watu 200 wamepokea hii text

watu 200 wamepokea hii text

Muulize kwanza Obama kwa nini aliruhusu Bi Hilal Clinton afanye safari zaidi ya 900 katika miaka 4.

Kwa sababu Bibi (sio Bi) Hillary(sio Hilal) alikuwa ni Waziri wa Mambo ya Nje......JK amesafiri nje zaidi ya Membe kwa miaka 7....bila tija yeyote of course

Kifupi ni kwamba hana tofauti na dereva wa daladala aliyekuwa kondakta zamani.......anataka bado akae mlangoni pamoja na kuwa keshakuwa dereva tayari (anaona Membe anafaidi uwaziri wa mabo ya nje)
 
Acha hasira Ritz,tambua kuwa uozo wa Hillary Clinton hauwezi kumsafisha mshua
 
Amebakiza nchi chache duniani kutembelea kama Korea Kas, Iraq, Afghastan
 
Ikiwa Rais Obama amekaa madarakani miaka 4 na kufanya jumla ya safari 32 na kutakiwa kutaja faida ya kila safari ndipo apate uhalali wa kuchaguliwa tena, Nyerere alikaa madarakani miaka 25 na kufanya jumla ya safari 68 tu, Ndg. JK Amekuwa madarakani kwa muda miaka 7 na kufanya jumla ya safar 322,Je nini kifanyike kudhibiti mfumuko wa safari kwa Rais wetu? Je,Lini atatoa maelezo ya faida za safari hizo?

Aisee, this is very serious.
 
Unajua kirefu cha JK wewe? Maana yake ni Jitahidi Kuzurura. Sasa kosa lake ni lipi hapo?
 
Tuandamane kumtoa madarakani. Safari moja inagharimu si chini ya milioni 50, mara hizo safari 322 hapo unaongelea pesa ambayo ingetosha kujenga vitu 200 vya afya huko vijijini. We better kick him out.
Mkuu bajeti ya safari moja ya rais nje ya nchi ni Ths Mil. 150. Ila safari za JK hugharimu mil 200 hadi 250.
 
Mtoto wa Kiume kuleta mipasho kwenye vitu serious kama hivi unaweza jikuta unashikishwa ukuta

Wale wale! utawajuwa tu, hawajifichi, hata ukiwatia kwenye chupa watatoa kidole!
 
Huyu jamaa hashauriki na wala sio msikivu, je atalijibu vipi swali letu iwapo yeye si msikivu?

Sio kweli mkuu shida ni kuwa watu wanamshauri vibaya eti apunguze safari huo ni ushauri mbaya kabisa we mshauri atembelee zile beach za Brazil,akabembee kula Jamaica,akakutane na akina David Beckam uone kama atakataa huo ushauri acheni kumshauri raisi wangu vibaya
 
Mkuu bajeti ya safari moja ya rais nje ya nchi ni Ths Mil. 150. Ila safari za JK hugharimu mil 200 hadi 250.
Lol, Mungu wangu halafu bado tunalalamika umasikini? Kweli watanzania tumelala. Hivi tukiamua kukomalia kwamba hizi safari zifutwe, si tutaokoa hela kibao ambazo zinaweza zikasaidia kufanya shughuli nyingine za maendeleo kwa nchi? It pains!
 
Muulize kwanza Obama kwa nini aliruhusu Bi Hilal Clinton afanye safari zaidi ya 900 katika miaka 4.

Ritz bana...sometimes unakuwaga kama hufikiri vile....sasa Hilary si ndo kazi yake? na Membe afanye nini? halafu wao wana uwezo wa kueleza umuhimu wa safari zao.sasa sisi tutaeleza nini masikini
 
Sio kweli mkuu shida ni kuwa watu wanamshauri vibaya eti apunguze safari huo ni ushauri mbaya kabisa we mshauri atembelee zile beach za Brazil,akabembee kula Jamaica,akakutane na akina David Beckam uone kama atakataa huo ushauri acheni kumshauri raisi wangu vibaya
 
Last edited by a moderator:
Lol, Mungu wangu halafu bado tunalalamika umasikini? Kweli watanzania tumelala. Hivi tukiamua kukomalia kwamba hizi safari zifutwe, si tutaokoa hela kibao ambazo zinaweza zikasaidia kufanya shughuli nyingine za maendeleo kwa nchi? It pains!

Nakwambia ni uozo uliokomaa...kurugenzi ya mawasiliano ikulu haiwezi kujisafisha kwani ndyo inayopanga bajeti hiyo, na sio bunge....ufisadi kabla haujaonekana nje huwa unaanzia ikulu kwanza. Ujumbe wa msafara wa rais (JK) ni mkubwa mno na hata wasiohusika huainishwa katika safari ilhali wanahitajika kuwatumikia wananchi. wizi wa muda katika utumishi wa umma ni jambo lililokomaa na lisilozuilika. kwa mfano utoro wa wabunge...hapa napata kichefuchefu....spika naye ni dhaifu sana, anawabeba mafisadi wenzake.
 
Ritz bana...sometimes unakuwaga kama hufikiri vile....sasa Hilary si ndo kazi yake? na Membe afanye nini? halafu wao wana uwezo wa kueleza umuhimu wa safari zao.sasa sisi tutaeleza nini masikini
Zion Daughter , BK Membe hana ubavu wa kusafiri bila kumuaga JK, pili hana ujasiri wa kueleza umuhimu wa safari hata kama ni waziri mwenye dhamana hiyo....Ingekuwa waTZ tunaona kila kitu ungekubali ninachosema....Mwaka 2008 alifanya matukio mengi ya aibu, achilia katika ule mkutano wa nane Sullivan kule Arusha, Pale kwenye Makao makuu ya AU, mwaka huohuo akiwa Mwenyekiti wa Baraza la mawaziri wa mambo ya nje la Afrika.....yaani, we acha tu. It was an imminent disaster!!!lakini all in all JK bado ni mvumilivu au ni"sikio la kufa".....Naandika haya kwa uhuru kwani mimi ni mtanzania, tena mpiga kura. daughter mwache Hillary Clinton azurure, ila ni kwa faida. Mbona Obby yuko nyumbani anachapa kazi?
 
Mh! Kama hizi takwimu zipo sahihi tuna hali mbaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom