Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,813
- 59,303
- Thread starter
- #41
Hahahaah!Sasa nikuite nani kufikisha heshima?Mzee DC?Japo haina utamu kama babu naweza nikazoea taratibu kama ndilo unalotaka!Nwyz hapo kwenye kipimo na umri ndo wengi wanapokosea!Mtu anamwadhibu mtoto utadhani kakutana na terrorist mtu mzima mwenzake.Mwisho mtu anaishia kumharibu mtoto kwa kumfanya sugu na kumfanya aamini anastahili kunyanyaswa!Inaua moyo hata kama mtu bado anatembea!