Watoto wetu wanakula nini mashuleni?

Watoto wetu wanakula nini mashuleni?

Hongera Miss Natafuta kwa kupata ka baby. Ila kama ni yai la mwisho why umpeleke shule ktk umri huo jamaniii mbona mdogo sana?mimi labda ni old fashioned
Sasa ningefanyeje mamiloo nyumbani anacheki tv tu na dada siku nzima.hana wa kucheza nae.tuliona anakuwa mpweke sana
 
Sasa ningefanyeje mamiloo nyumbani anacheki tv tu na dada siku nzima.hana wa kucheza nae.tuliona anakuwa mpweke sana
Haha ha ha oooo kumbe kafestiboni,sa si acheze na huyo dada huku ukijipanga kumletea mwnzke mwakani😂😂
 
Mkuu uko busy kiasi gani kupelekea mtoto wa miaka miwili akalelewe kindergarten?

Uzungu zungu tu kila kitu why!

Ivi ako kajukuu ukikaacha kakakua kua ad kajitambue kakiwa kanakula matunda halisi ya nyumbani kukomaza ubongo kuna ubaya?

Kwenye hivi vituo vya kulelea watoto mnavyoviita ninyi shule, hakuna chakula cha maana wanachoweza kulisha watoto, vinginevyo wajiendeshe kwa hasara.

Na katajamba sana Dar nzima, maana hakuna namna!

Ee, si mzazi umeamua kukasulubu?
 
Maisha yanaenda kasi sana,mtoto halelewi na mama tena, ni mwendo wa Day care na sijui boarding.... sijui watoto wakikua watakuaje.
 
Mkuu uko busy kiasi gani kupelekea mtoto wa miaka miwili akalelewe kindergarten?

Uzungu zungu tu kila kitu why!

Ivi ako kajukuu ukikaacha kakakua kua ad kajitambue kakiwa kanakula matunda halisi ya nyumbani kukomaza ubongo kuna ubaya?

Kwenye hivi vituo vya kulelea watoto mnavyoviita ninyi shule, hakuna chakula cha maana wanachoweza kulisha watoto, vinginevyo wajiendeshe kwa hasara.

Na katajamba sana Dar nzima, maana hakuna namna!

Ee, si mzazi umeamua kukasulubu?
Maneno magumu mkuu kweli akili imefunguka niambieni sasa nifanyeje??
 
Maneno magumu mkuu kweli akili imefunguka niambieni sasa nifanyeje??
Mkuu shida imeonekana dhahiri, mlee nyumbani kwanza achangamke, bado kakinda sana buana!

Kakipata umri wa kujitambua, utawajibika tu kukasomesha bila shaka ad utafurahi, lakini kwa umri huu wa miaka miwili, mzazi ni kujipa gharama na stress zisizo na ulazima wowote.
 
Maisha yanaenda kasi sana,mtoto halelewi na mama tena, ni mwendo wa Day care na sijui boarding.... sijui watoto wakikua watakuaje.
Hiyo hiyo Kasi ni lzma uikabili kitunduizi...akili kumkichwa mana Kasi hyo haiwez kubadlsha baadh ya Mambo adhimu yatuhusuyo...
 
Yaani miaka 2 yuko shule?!!!.
Subiri afike 5 kama anakuboa akiwa home,tafuta housegal ili asiwe anakusumbua ukiwa unachati,kuliko kumpeleka shule umri huo
 
watu saiz wamechoka kulea.. nilikaona katoto kana miaka miwili kapo shule yaan ata upendo wa mamaake hajaufaidi.. wanawatesa sana.. shule hawatoweza kuwapikia watoto wengi chakula cha afya ni makande tuuu
 
Yaani miaka 2 yuko shule?!!!.
Subiri afike 5 kama anakuboa akiwa home,tafuta housegal ili asiwe anakusumbua ukiwa unachati,kuliko kumpeleka shule umri huo
.....anakusumbua ukiwa unachati😂😂😂
 
watu saiz wamechoka kulea.. nilikaona katoto kana miaka miwili kapo shule yaan ata upendo wa mamaake hajaufaidi.. wanawatesa sana.. shule hawatoweza kuwapikia watoto wengi chakula cha afya ni makande tuuu
"watu saizi wamechoka kulea"😠 insktshaa mnoo
 
Oohooo, kaangalieni msikute school bus driver keshafanya yake, oohooo.

Miaka 2 shule ? Si atachoka sana.

Okay kila mtu ana maamuzi na makuzi ya mwanaye, hakuna nyongeza wala punguza
 
Back
Top Bottom