Watoto wetu wanakula nini mashuleni?

Watoto wetu wanakula nini mashuleni?

Pole sana daaah nacheka km mazuri vle...wake zetu wa Mjini kweli kazi wanayo,ubize maskini,mpaka miezi michache tu baada ya breastfeeding kanapelekwa babycare-kindergarten...huko kanasonyekwa miharage ya mafuta ya mawese,mimaji isiyochemshwa, unategemea kasiwe EKSOZI ya pikipiki daaaah kabebi ketu afu mama mwenyewe japo na kudanga hovyo anachokipata na kle cha mwenzake akiunganisha hakijai mkononi loooh salaleee
Eksozi ya pikipiki
 
Pole sana daaah nacheka km mazuri vle...wake zetu wa Mjini kweli kazi wanayo,ubize maskini,mpaka miezi michache tu baada ya breastfeeding kanapelekwa babycare-kindergarten...huko kanasonyekwa miharage ya mafuta ya mawese,mimaji isiyochemshwa, unategemea kasiwe EKSOZI ya pikipiki daaaah kabebi ketu afu mama mwenyewe japo na kudanga hovyo anachokipata na kle cha mwenzake akiunganisha hakijai mkononi loooh salaleee
Eksozi ya boda sio
 
Mungu ni mwema shule zimefunguliwa japo wengine tulikuwa tushakula ada ,ila sio mbaya tutadanga hivo hivo watoto wasome.

Mwenzenu Nina changamoto kababy ketu kalianza shule mwaka huu kabla ya lockdown ile Jan.nikalipa ada vizuri tu .ila hakusoma sana hata mwezi akaanza kuzingua mara anaumwa .mara anachelewa kuamka ,mara mvua etc anyway wenyewe tukaona kwa vile ni mdogo just 2yrs tusiforce akaacha tu ndo kukutana na lockdown ya shule Hadi alivoanza tena shule just imagine tumelipishwa tena ada nziiima sina hamu.

Kinachoniuma toka dogo aanze shule juzi anajamba balaa.japo ni kadogo siwezi kusema anachoniambia ni kweli au lah ila nikimuuliza shule ulikula nini anasema ugali maharage na maziwa, jana makande Ugali maharage yaani kila siku maharage.

Mtoto anajambaaa Dar nzima yaani hadi tunakionea kitoto chetu huruma nataka niandamane kwa Ndalichako maana hela nalipa sasa nauliza nifanyeje wakuu na hii shule.

Mtu ana minyoo halafu unataka tutoe maoni
 
Ha ha ha kabla ya arobaini😂
Mm naonekana mtata kwa mwnzng na hta mama mkwe...mfano,I told them,why are we not abiding to the exclusive breastfeeding(ebf) tunayoambiwa na wataalam wa RCH tuendako...nn Sasa umuhimu wa mm kwenda nawe clinic loooh majibu yanakuwa hapana Mana mtoto hashibi sjui Bibi yake kasema...tushazoea haya...katoto kana miez 2 miuji kibao ananyweshwa,mimaji eti ana kiu...kitumbo ndiii yaani
 
Mm naonekana mtata kwa mwnzng na hta mama mkwe...mfano,I told them,why are we not abiding to the exclusive breastfeeding(ebf) tunayoambiwa na wataalam wa RCH tuendako...nn Sasa umuhimu wa mm kwenda nawe clinic loooh majibu yanakuwa hapana Mana mtoto hashibi sjui Bibi yake kasema...tushazoea haya...katoto kana miez 2 miuji kibao ananyweshwa,mimaji eti ana kiu...kitumbo ndiii yaani
 
Back
Top Bottom