Watoto wetu wanakula nini mashuleni?

Watoto wetu wanakula nini mashuleni?

Yaani SKU izi shida kweli eti katoto hata kusema vizuri hakijui unakapeleka shule usimtese aisee subiri atimie at least miaka 5 huko nikumtesa tu mtoto huu uzungu huu.
Wazungu hawanaga housegirl so kama mtu ameajiriwa mtoto atapelekwa daycare, hawana choice. Wengine huamua kuacha kazi anazaa chap chap anawalea mpaka umri wa kuanza shule ambao ni miaka 5 then anarudi kazini. So tusiige wazungu sio kwamba wanapenda.
 
Back
Top Bottom