Watoto wetu wanakula nini mashuleni?

Miss Natafuta

JF-Expert Member
Sep 16, 2015
25,543
45,786
Mungu ni mwema shule zimefunguliwa japo wengine tulikuwa tushakula ada ,ila sio mbaya tutadanga hivo hivo watoto wasome.

Mwenzenu Nina changamoto kababy ketu kalianza shule mwaka huu kabla ya lockdown ile Jan.nikalipa ada vizuri tu .ila hakusoma sana hata mwezi akaanza kuzingua mara anaumwa .mara anachelewa kuamka ,mara mvua etc anyway wenyewe tukaona kwa vile ni mdogo just 2yrs tusiforce akaacha tu ndo kukutana na lockdown ya shule Hadi alivoanza tena shule just imagine tumelipishwa tena ada nziiima sina hamu.

Kinachoniuma toka dogo aanze shule juzi anajamba balaa.japo ni kadogo siwezi kusema anachoniambia ni kweli au lah ila nikimuuliza shule ulikula nini anasema ugali maharage na maziwa, jana makande Ugali maharage yaani kila siku maharage.

Mtoto anajambaaa Dar nzima yaani hadi tunakionea kitoto chetu huruma nataka niandamane kwa Ndalichako maana hela nalipa sasa nauliza nifanyeje wakuu na hii shule.
 
Mungu ni mwema shule zimefunguliwa japo wengine tulikuwa tushakula ada ,ila sio mbaya tutadanga hivo hivo watoto wasome.

Mwenzenu Nina changamoto kababy ketu kalianza shule mwaka huu kabla ya lockdown ile Jan.nikalipa ada vizuri tu .ila hakusoma sana hata mwezi akaanza kuzingua mara anaumwa .mara anachelewa kuamka ,mara mvua etc anyway wenyewe tukaona kwa vile ni mdogo just 2yrs tusiforce akaacha tu ndo kukutana na lockdown ya shule Hadi alivoanza tena shule just imagine tumelipishwa tena ada nziiima sina hamu

Kinachoniuma toka dogo aanze shule juzi anajamba balaa.japo ni kadogo siwezi kusema anachoniambia ni kweli au lah ila nikimuuliza shule ulikula nini anasema ugali maharage na maziwa,jana makandeUgali maharage yaani kila siku maharage

Mtoto anajambaaa dar nzima yaani hadi tunakionea kitoto chetu huruma nataka niandamane kwa ndalichako maana hela nalipa
Sasa nauliza nifanyeje wakuu na hii shule
Pole sana daaah😂😂 nacheka km mazuri vle...wake zetu wa Mjini kweli kazi wanayo,ubize maskini,mpaka miezi michache tu baada ya breastfeeding kanapelekwa babycare-kindergarten...huko kanasonyekwa miharage ya mafuta ya mawese,mimaji isiyochemshwa, unategemea kasiwe EKSOZI ya pikipiki daaaah kabebi ketu😥😥 afu mama mwenyewe japo na kudanga hovyo anachokipata na kle cha mwenzake akiunganisha hakijai mkononi loooh salaleee
 
Pole sana daaah nacheka km mazuri vle...wake zetu wa Mjini kweli kazi wanayo,ubize maskini,mpaka miezi michache tu baada ya breastfeeding kanapelekwa babycare-kindergarten...huko kanasonyekwa miharage ya mafuta ya mawese,mimaji isiyochemshwa, unategemea kasiwe EKSOZI ya pikipiki daaaah kabebi ketu afu mama mwenyewe japo na kudanga hovyo anachokipata na kle cha mwenzake akiunganisha hakijai mkononi loooh salaleee
Mkuu tufanyeje Sasa??
 
Fanya uende uko shuleni ghafla tena muda aambao unajua wanapata chakula ili ujionee mwenyewe wanaavyolishwa mashudu

Huyo mtoto ilibidi awe nyumbani anapata uangalizi na mlo kamili ulioandaliwa na Mama.
Ahaaa eti mashudu mkuu nalipa hela mjue
So nimuachishe ama??
 
I think huo umri angepata kindergarten ya kutoka saa 6 mchana ili apate mlo nyumbani...ni mdgo sana kushinda shule na kusokomezwa unbalanced diet
Mungu ni mwema shule zimefunguliwa japo wengine tulikuwa tushakula ada ,ila sio mbaya tutadanga hivo hivo watoto wasome.

Mwenzenu Nina changamoto kababy ketu kalianza shule mwaka huu kabla ya lockdown ile Jan.nikalipa ada vizuri tu .ila hakusoma sana hata mwezi akaanza kuzingua mara anaumwa .mara anachelewa kuamka ,mara mvua etc anyway wenyewe tukaona kwa vile ni mdogo just 2yrs tusiforce akaacha tu ndo kukutana na lockdown ya shule Hadi alivoanza tena shule just imagine tumelipishwa tena ada nziiima sina hamu.

Kinachoniuma toka dogo aanze shule juzi anajamba balaa.japo ni kadogo siwezi kusema anachoniambia ni kweli au lah ila nikimuuliza shule ulikula nini anasema ugali maharage na maziwa, jana makande Ugali maharage yaani kila siku maharage.

Mtoto anajambaaa Dar nzima yaani hadi tunakionea kitoto chetu huruma nataka niandamane kwa Ndalichako maana hela nalipa sasa nauliza nifanyeje wakuu na hii shule.
 
Wazazi mna viherehere tu,mtoto miaka mitano hata utoto hajamaliza unampeleka shule,akagundue Nini?
Tafiti zinasema mtoto anaanza kuelewa akiwa na miaka sita,sasa nyie na uzungu wenu mnawapeleka na miaka mitatu mpaka mitano.
Lishe ya mtoto unatakiwa uiandae wewe mama sasa unawapa kazi hiyo waalimu?
Miaka mitano bado anakwenda kliniki Kama sikosei,kwa hiyo mtoto wa kliniki unampeleka shule?
 
Facts.Mimi nligombana na huyu mwnzngu KUHUSU huohuo uzungu....aaagh yaan we acha tu...mwanamke utafkr anaishi Philladelphia...
Wazazi mna viherehere tu,mtoto miaka mitano hata utoto hajamaliza unampeleka shule,akagundue Nini?
Tafiti zinasema mtoto anaanza kuelewa akiwa na miaka sita,sasa nyie na uzungu wenu mnawapeleka na miaka mitatu mpaka mitano.
Lishe ya mtoto unatakiwa uiandae wewe mama sasa unawapa kazi hiyo waalimu?
Miaka mitano bado anakwenda kliniki Kama sikosei,kwa hiyo mtoto wa kliniki unampeleka shule?
 
Mungu ni mwema shule zimefunguliwa japo wengine tulikuwa tushakula ada ,ila sio mbaya tutadanga hivo hivo watoto wasome.

Mwenzenu Nina changamoto kababy ketu kalianza shule mwaka huu kabla ya lockdown ile Jan.nikalipa ada vizuri tu .ila hakusoma sana hata mwezi akaanza kuzingua mara anaumwa .mara anachelewa kuamka ,mara mvua etc anyway wenyewe tukaona kwa vile ni mdogo just 2yrs tusiforce akaacha tu ndo kukutana na lockdown ya shule Hadi alivoanza tena shule just imagine tumelipishwa tena ada nziiima sina hamu.

Kinachoniuma toka dogo aanze shule juzi anajamba balaa.japo ni kadogo siwezi kusema anachoniambia ni kweli au lah ila nikimuuliza shule ulikula nini anasema ugali maharage na maziwa, jana makande Ugali maharage yaani kila siku maharage.

Mtoto anajambaaa Dar nzima yaani hadi tunakionea kitoto chetu huruma nataka niandamane kwa Ndalichako maana hela nalipa sasa nauliza nifanyeje wakuu na hii shule.
Ada unalipa shilingi ngapi? Usilalamike mtoto analishwa mavyakula yenye gas kumbe ada ni ndogo haikizi mahitaji mengine
 
Back
Top Bottom