Khalifavinnie
JF-Expert Member
- May 19, 2017
- 2,850
- 2,442
- Thread starter
- #21
ishu sio sisi kukubali ama kukataa ni taarifa tu kuwa wenzetu wanakuja kizazi cha kipekee na chenye nguvu ya kila kitu...What is this!? Hawa siyo MAZOMBIE kweli? Tusubiri tuwaone in the next 10 to 20 years! Halafu siyo kila wafanyacho Wamarekani ni SAHIHI! Tusikubali vitu bila kuvichanganua.