Watoto wenye akili za ziada milion5 (U.S.A)

Watoto wenye akili za ziada milion5 (U.S.A)

Khalifavinnie

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2017
Posts
2,849
Reaction score
2,442
Watoto wenye akili za ziada milion5 wazalishwa kila baada ya miaka10 us chember place,watoto hao wako shapu na wakiwa mbele ya muda kwa kila skills,wakati sisi tunapambania kujazana vyuoni na kula boom wenzetu wanaumba akili za ziadi na kupandikiza mbegu kisha kiumbe mtoto kinakuja full package hatar ya ufamu.....
 
Watoto wenye akili za ziada milion5 wazalishwa kila baada ya miaka10 us chember place,watoto hao wako shapu na wakiwa mbele ya muda kwa kila skills,wakati sisi tunapambania kujazana vyuoni na kula boom wenzetu wanaumba akili za ziadi na kupandikiza mbegu kisha kiumbe mtoto kinakuja full package hatar ya ufamu.....
Wewe unaelewa nini maana ya akili?
Akili zinakaa wapi?
Zinapatikanaje?
Leta chanzo cha habari yako pengine umetafsiri vibaya

Unaelewa nini maana ya skills?
Je skills zinapatikanaje? Mtu anazaliwa nazo?
 
Mkuu hiyo rahisi hata kwa mkeo TU lakini yahitaji Ufahamu vema saikolojia.Kimsingi mtoto hukua ubongo kwa hatua ya kwanza kuanzia umri 0. Hapo katika makuzi ya akili ya mtoto sisi ndipo hukosea.
Issue sio kujua saikolojia issue ni kujua sayansi ya ukuaji wa mtoto.
 
Wewe unaelewa nini maana ya akili?
Akili zinakaa wapi?
Zinapatikanaje?
Leta chanzo cha habari yako pengine umetafsiri vibaya

Unaelewa nini maana ya skills?
Je skills zinapatikanaje? Mtu anazaliwa nazo?
kipawa(skills) hutokana na mjumuiko wa akili,ambapo akili ni uelewa ambao umekusanya mafundisho mbalimbali kulingana na mazingira yanayokuzunguka,kwanini tunasema akili ya ziada mbali na kufijinza na kuelewa kitu kulingana na mazingira yaliyokunzuka kuna uelewa mwingine wa ziada ambao humfanya binadamu kuwa shapu sana na mwenye kasi kubwa katika kupambanua mambo kwa sababu ya kuwekewa akili nyingine ya ziada katika FUNZA anayeendesha ufahamu kwa binadamu almaarufu kama (pineal gland) ama pia wengine hutumia jicho la tatu wakiwa na maana uelewa wa nyiongeza...

kwakoo....
 
Watoto wenye akili za ziada milion5 wazalishwa kila baada ya miaka10 us chember place,watoto hao wako shapu na wakiwa mbele ya muda kwa kila skills,wakati sisi tunapambania kujazana vyuoni na kula boom wenzetu wanaumba akili za ziadi na kupandikiza mbegu kisha kiumbe mtoto kinakuja full package hatar ya ufamu.....
What is this!? Hawa siyo MAZOMBIE kweli? Tusubiri tuwaone in the next 10 to 20 years! Halafu siyo kila wafanyacho Wamarekani ni SAHIHI! Tusikubali vitu bila kuvichanganua.
 
kipawa(skills) hutokana na mjumuiko wa akili,ambapo akili ni uelewa ambao umekusanya mafundisho mbalimbali kulingana na mazingira yanayokuzunguka,kwanini tunasema akili ya ziada mbali na kufijinza na kuelewa kitu kulingana na mazingira yaliyokunzuka kuna uelewa mwingine wa ziada ambao humfanya binadamu kuwa shapu sana na mwenye kasi kubwa katika kupambanua mambo kwa sababu ya kuwekewa akili nyingine ya ziada katika FUNZA anayeendesha ufahamu kwa binadamu almaarufu kama (pineal gland) ama pia wengine hutumia jicho la tatu wakiwa na maana uelewa wa nyiongeza...

kwakoo....
Tangu lini skills ni kipawa?
 
Mkuu hiyo rahisi hata kwa mkeo TU lakini yahitaji Ufahamu vema saikolojia.Kimsingi mtoto hukua ubongo kwa hatua ya kwanza kuanzia umri 0. Hapo katika makuzi ya akili ya mtoto sisi ndipo hukosea.
Mkuu haya mambo yanafanyika mahabala na wataalam.

Achilia mbali malezi ya watoto.
 
Watoto wenye akili za ziada milion5 wazalishwa kila baada ya miaka10 us chember place,watoto hao wako shapu na wakiwa mbele ya muda kwa kila skills,wakati sisi tunapambania kujazana vyuoni na kula boom wenzetu wanaumba akili za ziadi na kupandikiza mbegu kisha kiumbe mtoto kinakuja full package hatar ya ufamu.....

hii habari chanzo chake wap!
 
What is this!? Hawa siyo MAZOMBIE kweli? Tusubiri tuwaone in the next 10 to 20 years! Halafu siyo kila wafanyacho Wamarekani ni SAHIHI! Tusikubali vitu bila kuvichanganua.
Inategemea na mtengenezaji amelenga nini.

=>Anaweza kutengeza mijitu yenye kariba ya roho mbaya na akili kubwa.

=>Anaweza kutengeneza watu wapole na akili nyingi . Tatizo litakuja kwenye kuwatumia,

Kama watatumika kwenye shughuli nzuri wataleta manufaa .

Ila kama watatumika na watu wabaya kama magaidi, majambazi hasa uharifu wa mtandaoni patakua hapatoshi.
 
Bila saikolojia hujafanya kitu huko bibie.
Saikolojia ina deal na behaviour, binadamu ni kiumbe complex, ili uelewe vizuri lazima uzame ndani kwenye ubongo uzielewe system zinazopelekea behaviour na sio kusoma behaviour tu.
 
Back
Top Bottom