Watoto wanaotumika Kupokea Viongozi

Watoto wanaotumika Kupokea Viongozi

Kuna mafundi wa kudis lakini kwangu mimi nadhani mleta mada kaleta swali fikirishi ambalo kwangu mimi hata sijawahi jiuliza.
Mkuu, kuna MAJITU majinga mno hapa nchini. Nadhani ndio MANUFAIKA ya hizo fursa, sisi tunahoji matumizi ya KODI zetu yanatoa majibu ya nyodo. PUMBAVU ZAO KABISA!
 
NI swali ambalo sio fikirishi.
Kwa mfano ukifunga ndoa vile vitoto si lazima uchukue ndugu zako?
Sasa kuna swali hapo tena
Hapo tunaongelea Serikali, hatuongelei MTU BINAFSI. Acha upumbavu wewe.
 
Wewe unalipa kodi, shenzi kabisa?
Tunalipa kodi tena kubwa sana aisee, ni lazima tuhoji uhalali wa matumizi yake. Ukiona mtu anakushangaa kwa hilo ni lazima kutakuwa na tatizo sehemu kwa upande wake!
 
Wengi ni watoto wa viongozi, mfano kwenye picha iliyopo kwenye hii thread huyo mtoto aliyempa maua Tsheked ni mtoto wa mhe mbunge sixtus mapunda , huyu mtoto anatumika Sana kwenye hizi shughuli nadhani kashakuwa mzoefu sasa. Ukitaka kuthibitisha angalia Instagram account ya baba au mama yake utamuona huyo mtoto
Case closed!
 
Hapo tunaongelea Serikali, hatuongelei MTU BINAFSI. Acha upumbavu wewe.
Serikali haiongozwi na watu.
Kumbuka hii ni part time na sio ajira.

Na kwa nini unakimbilia kutukana? Ndio upeo wako umeishia kwenye matusi
 
Wanaweza kuwa ni watoto wa viongozi wenyewe. Hiyo ni kazi ya kitengo cha mapokezi na mafunzo ambapo mtoto kama huyo hufundishwa cha kufanya na hata lugha ya kuongea na mgeni. Kama ni kiingereza watatafuta katoto kanako shuka vizuri. Kama ni kifaransa au kichina hali kadhalika.
Naongezea
Hao watoto hawasomi elimu bure. Ni watoto wa ushuani hao, ukipeleka toto la kayumba hapo halikawii kuomba hela.
Mwenye nacho ataongezewa and viceversa.
 
Hivi hawa Watoto wanaotumika kupokea Viongozi mbalimbali wanatokea wapi?

Ni watoto wa akina nani? Mchakato wa upatikanaji wao ukoje? Wanalipwa kiasi gani? Bajeti ya shughuli zao inasomeka wapi?

View attachment 1127216

Mara nyingi huwa wanakuwa Kwanza ni Watoto waliotoka katika Moja ya Familia za Watendaji Waandamizi wa Serikalini na hasa Ikulu ila wanakuwa pia wamechaguliwa pia kutoka Shule ambazo pia zina Watoto wengi wa Wakubwa nchini mfano Bunge au Oysterbay na baadhi yake. Na wengi Wao baadae huja Kuajiriwa na Idara Nyeti kwani huonekana kuwa ni Werevu mapema na wana Uwezo mkubwa pia wa Kujiamini. Ni vigumu sana Kumpa hilo Jukumu hapo Mtoto ambaye ametokea katika Familia za Uswahilini na ambaye hatoki pia katika Familia ambayo ina ( exposure ) ya Kutosha ya mambo mbalimbali ya Kisasa kabisa.
 
We PUNGA, hivi unafikiri shughuli za serikali zinaendeshwa kwa pesa gani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu naona unawapa za uso
Ni kweli lazima tuhoji na tujue

Ova
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu naona unawapa za uso
Ni kweli lazima tuhoji na tujue

Ova
Aaah, hawa WASAKA TONGE wanaudhi sana Mkuu, kusifia ujinga ujinga tu!
 
Mara nyingi huwa wanakuwa Kwanza ni Watoto waliotoka katika Moja ya Familia za Watendaji Waandamizi wa Serikalini na hasa Ikulu ila wanakuwa pia wamechaguliwa pia kutoka Shule ambazo pia zina Watoto wengi wa Wakubwa nchini mfano Bunge au Oysterbay na baadhi yake. Na wengi Wao baadae huja Kuajiriwa na Idara Nyeti kwani huonekana kuwa ni Werevu mapema na wana Uwezo mkubwa pia wa Kujiamini. Ni vigumu sana Kumpa hilo Jukumu hapo Mtoto ambaye ametokea katika Familia za Uswahilini na ambaye hatoki pia katika Familia ambayo ina ( exposure ) ya Kutosha ya mambo mbalimbali ya Kisasa kabisa.
Wanapatikana vipi? Kuna utaratibu maalum? Ama ni upendeleo fulani tu?
 
Wanapatikana vipi? Kuna utaratibu maalum? Ama ni upendeleo fulani tu?

Uwezo wangu wa ufahamu juu ya hili Jambo umeishia hapo Kiongozi hivyo naomba niwaachie na wengine nao wataweza Kukupa Ufafanuzi zaidi na Uelewa wao mkubwa.
 
Wanapatikana vipi? Kuna utaratibu maalum? Ama ni upendeleo fulani tu?
Utaratibu na upendeleo flani vyote kwa pamoja, yaani sio Kila mtoto mwenye vigezo atachukuliwa ukichukulia matukio yenyewe ni mara chache.
Upendeleo upo kwenye sifa ya mzazi pia
 
Back
Top Bottom